GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
"Asilimia 70 ya huu mkoa ni wambea, na wanapenda umbea kuliko chochote kile, msikubali wakawatenganisha wewe na RAS wako..wanapiga majungu sana hawa msiwaone hivi, wanamjua mtu kuliko anavyojijua yeye". Aliyekuwa RC Dar es Salaam-Paul Makonda
ITV Tanzania.
Kwa bahati mbaya siishi Tanzania je, nyie mnaoishi huo Mkoa wa Dar es Salaam na watumiaji wa Mitandao ni kweli wengi Wenu ni Wambea hivi?
ITV Tanzania.
Kwa bahati mbaya siishi Tanzania je, nyie mnaoishi huo Mkoa wa Dar es Salaam na watumiaji wa Mitandao ni kweli wengi Wenu ni Wambea hivi?