lossoJR
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 2,711
- 2,384
Anajulikana kama SHUNDU, CHURA, BANDA LA UANI, LENS MBINUKO, REVERSE, SOFA na mengine mengi ambayo waja wamebatiza.
Kiukweli me mwenyewe ni muhanga wa hili dubwana, likipita au kupishana nami lazima ni rotate shingo 360° hata kama la Dent, haina Maana yoyote ila basi kurefresh tu.
Nikiwa kwenye hivi vijiwe vyetu vya Gahawa huwa nasikia wakinena,kuishi na Mke bila ya SHUNDU,
nisawa unaishi na msela mwenzio (room Mate[emoji4]).
Wakaenda mbele zaidi ati 'ukiona mkeo anapiga mswaki hata hakuna vibration yoyote from backbencher side,Aisee my friend jua una mzeeBaba ndani[emoji22].
Ama hakika wacha Chura aruke ruke kwani ndio faraja yetu.
Kiukweli me mwenyewe ni muhanga wa hili dubwana, likipita au kupishana nami lazima ni rotate shingo 360° hata kama la Dent, haina Maana yoyote ila basi kurefresh tu.
Nikiwa kwenye hivi vijiwe vyetu vya Gahawa huwa nasikia wakinena,kuishi na Mke bila ya SHUNDU,
nisawa unaishi na msela mwenzio (room Mate[emoji4]).
Wakaenda mbele zaidi ati 'ukiona mkeo anapiga mswaki hata hakuna vibration yoyote from backbencher side,Aisee my friend jua una mzeeBaba ndani[emoji22].
Ama hakika wacha Chura aruke ruke kwani ndio faraja yetu.