Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,474
- 3,744
Watanzania yafaa tuwaze na kuwazua,na tujitafakari kweli kweli.Wasalaam
Hakika ni vigumu sana kuamini kama huyu mwamba mbowe anashirikiana na ccm watesi wa wanachadema. Kuna watu wamepoteza maisha kukipigania chama, na kuna watu ni vilema, mpaka leo Tundu lisu anatembea na risasi mwilini kwa sababu ya chadema.
Swali la kujiuliza ina maana muda wote huo mbowe anawala wenzie kisogo huku akishirikiana na watesi? Je kuna namna alihusika kushirikiana na ccm kuwapoteza na kuwaangamiza baadhi ya makada chadema? Yaani nawaza tu kwa sauti kubwa.
R.I.P Mzee wetu Ally Kibao mola akuepushe na adhabu ya kaburi.
Huyu mwamba huyu huenda anahusika kwa namna moja ama nyingine maana haiingii kichwaniWatanzania yafaa tuwaze na kuwazua,na tujitafakari kweli kweli.
Wakati mzee kibao anauwawa kuna watu wenye akili hapa jf walitamka wazi kwamba mbowe na mnyika wanahusika, ajabu akaibuka katibu mkuu wa ccm na kuwasafisha leo ndo nimejua kwannMbowe ameanza kulipa usaliti huu ni mwanzo
Naomba nipingane na wewe kuhusu risasi za Lissu! Hizo hazijatokana na kukipambania chama bwana! Hizo ni shauri ya ubishi wake!Wasalaam
Hakika ni vigumu sana kuamini kama huyu mwamba mbowe anashirikiana na ccm watesi wa wanachadema. Kuna watu wamepoteza maisha kukipigania chama, na kuna watu ni vilema, mpaka leo Tundu lisu anatembea na risasi mwilini kwa sababu ya chadema.
Swali la kujiuliza ina maana muda wote huo mbowe anawala wenzie kisogo huku akishirikiana na watesi? Je kuna namna alihusika kushirikiana na ccm kuwapoteza na kuwaangamiza baadhi ya makada chadema? Yaani nawaza tu kwa sauti kubwa.
R.I.P Mzee wetu Ally Kibao mola akuepushe na adhabu ya kaburi.
Sema ni kwa sababu ya roho yako/yenu mbayaNaomba nipingane na wewe kuhusu risasi za Lissu! Hizo hazijatokana na kukipambania chama bwana! Hizo ni shauri ya ubishi wake!