Jiwe suala la bishara na uchumi kili tu hauliwezi..kama kweli rais alikua na nia ya kuwasaidia watu wa kusini kuhusiana na bei ya korosho angeongezea kile kilichopelea kutoka katika bei za minada ya awali.
Kuliko hili alilolifanya ni kutiana umasikini hali ya kusini imezidi kua mbaya watu wanazidi kurudi katika lindi la umasikini wa kutisha.
#maendeleoHayanaChama.