Ama kweli, kua uyaone: Nimeshangaa kusikia hili

eeeh sisi ambao hatujui hata tundu moja acha tupite tu🚶‍♂️🚶‍♂️
 
Kama kweli alikuambia hayo basi alikuona bwege sana Mkuu. Kale katundu kembamba sana na ndio maana mkojo unawatoka kwa presha kubwa.
 
Haishangazi, maana kuna taarifa mpya vijana wa hovyo mnakunywa bia kupitia mkundu ili mlewe haraka, nimesoma sehemu hii.
 
Naona umepewa menu hapo. Hii ni taarifa mpya na inabidi ichapishwe na shirika la afya duniani(WHO) kwamba kuna ongezeko la tundu.Sasa kama ilikuwa moja halali yameongezeka yamefika matatu hali si itazidi kuwa.Nicheki nkuongezee ela ili ukaje na majibu mazuri toka kwa huyo mrembo.
 
Tundu la mkojo ni ngumu sana dushe kupita otherwise amekudanganya tu,maana katundu kenyewe kalivyo misri la lile tundu la kwenye dushe linalopitisha mkojo sasa hebu nambie katundu kama kale unaweza kupitisha dushe likapita??
Kanatanuka ujue
 
Duh kweli kua uyaone kuna mambo hata huyo shetan akiyaona anashangaa hata kwake mageni kabisq
 
Chai.

Urethral orifice hata kidole tu hakipiti sembuse uume.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…