Ama kweli maisha ni hadithi kama ilivyo kwa Ntobi na Yericko Nyerere

Ama kweli maisha ni hadithi kama ilivyo kwa Ntobi na Yericko Nyerere

Li ngunda ngali

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2023
Posts
707
Reaction score
2,572
Ntobi na jamaa yake Yericko Nyerere hatimaye wamebaki hadithi na maujinga yao ya kumtweza Lissu kabla ya Uchaguzi Mkuu wa CHADEMA kumalizika.

Ninao uhakika kwa sasa nafsi zao zinapitia wakati mugumu mno huku wakiwaza na kuwazua isivyo kawaida.

Tujifunze kuwa na kiasi hasa lijapo suala lihusulo siasa.
 
Mkuu politics is dirty game sifikirii Kama unaweza kuchukulia serious haya mambo ya kisiasa japo yanagusa maisha yetu.
 
Back
Top Bottom