Ama kweli sasa nimeamini wanaume wako tofauti kimaumbile

Hahahah nimejikuta nacheka tu maana hata sijui nikomentije hapa....anyway umeniongezea siku za kuishi sio mbaya!!!
 
Huyu ni mwanaume ambaye anateseka kisaikolojia na kibamia chake. Pole sn mkuu!
 
Hiyo inaitwa "grower". Hizo nyingine ni "showers" - kwa ajili ya maonesho.

A flaccid phallus is useless pia.
 
Hivi kumbe wapo wanaume wanaenda gegedana hadi mwanamke anavua nguo, mnaanza kuoga anapapaswa hadi mgongoni mashine isishtuke hadi ichezewe?
Kwangu naona ulim'baka wala hana hisia na wewe,

Ila kingine nilichogundua kwa siredi yako wanawake wa siku hizi wanaona ufahari sana kijitangaza wana nyuchi kubwaaa AKA mabwawa..
 
Mwisho wa siku unakosa Ladha kwa Mumeo.... Endelea kutest
Wewe mambo haya kaongelee kanisani, sunday school au kwenye semina ya elimu rika, au madrasa.

Huko ndio kwa kuwajenga watoto waje kuwa watu hao unao wataka wewe.
Hapa wengi ni kuanzia miaka 20 hadi 80.
Wameshaona na kujifunza mengi.
Don't waste your valuable time my friend.

Hawa watu wa hapa hawapangiwi.
 
Kwakua huishi na huyo mwanaume sio mimi. Maana ukiuome uume wangu ulivyo mdogo kabla haujasimama, unaweza sema sifanyi kitu. Yaani huwa najiuliza itakuaje kama nitakufa kifo cha kawaida walati naenda kusafishwa?????!!!!. Watu si watadhani nilikua natania tu ninapoingia na wanawake chumbani!!!!
 
Kwenye title ilibidi useme Inawahusu wanawake tu
 
Kwa mwanaume asiye na tatizo lakini uume wake mdogo ngoma ikisimama kazima igote inch 5.6-6..ngoma ambazo huwa zinaonekana kubwa kabla ya kusimama zikisimama huwa zinarefuka kidogo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…