Ama kweli, Tanzania itauzwa kwasababu ya mikopo

THE MARSHALL PLAN SUCCEEDED IN EUROPE BECAUSE THEY HAD STRONG INSTITUTIONS which are lacking in countries like Tanzania!! Kukosekana kwa taasisi zenye nguvu ndio chanzo cha matumizi mabaya ya rasilimali za nchi zinazohitajika kuleta maendeleo.
Excuse me, I beg to differ. Strong institutions are result not the cause of having strong men. What is lacking in Africa is men of Integrity. Strong men of Integrity with immense love for their fellow results in well functioning institutions and good use of resources. So in my humble opinion, Africa is lacking just that.

To make my case, look Trump's America and Biden's America. They are totally different. But Americans are one of the people with strong institutions and many likes to refer to them as a good example.

Let's focus on the really problem, which is lack of upright men. And this should start at the family level. Things are quiet messed up, down there. I fear the future of this country is even grimmer when I look at spoiled boys and girls in school. We are not fixing the core of the issue!
 
Mwaache akope tu huko kwa wazungu masuala ya kupokonyana pesa na matask force hatutaki Tena hii nchi itakuwepo hatatutakapo kufa sisi zitalipwa tu hizo pesa
Shida mnakopa zinaliwa juu kwa juu na kufichwa bank za Ulaya kisha masikini ndo utakiwa kulipa.
 
Mkopo ni Mkopo tu hauna cha nafuu
 
Huku zikija zinapigwa na wajanja wachache sn
 
Pamoja na kuwa na watu wenye integrity in muhimu pia kuwa na mipango ya serikali ya muda mrefu iliyo chambuliwa kwa kina. Katika mipango hii, lengo linatakiwa kuwa kutatua "root cause" ya changamoto tulizo nazo. Kwa mfano, ujenzi wa vituo vya afya vingi nchini haimaanishi kwamba watanzania wote wanapata afya bora. Wananchi wote kuwa na bima ndio njia moja ya kutokomeza tatizo hilo. Madarasa hayata wahi kuwa sababu ya watoto wetu kupata elimu bora.

Ninaamini kwamba viongozi wetu wanatakiwa ku "picture" Tanzania itakavyo kuwa ndani ya miaka kumi au ishirini kabla ya kuchukua mikopo ya muda mrefu. Hii itawasaidia katika kufahamu mahitaji ya serikali, jinsi itakavyo tumia mikopo hiyo kutokomeza changamoto kabisa, na cha muhimu zaidi na jinsi ya kulipa madeni. Integrity na long term planning kwenye mikopo vinaenda sambamba
 
Huo ni mfano wa jinsi ambavyo circumstances zinavyoweza kubadilika
 
Viongozi wa Africa bado wanawanza kitumwa, mtumwa hata umuache huru, umwambie nenda uko huru. Atamuliza bwana aliyemtawala sasa unaniamuru kwenda nitaishi vipi!? Wanaona maisha bila utwana wa fikra ni sawa na mto kupanda kilima. Wamekuwa masnitch aka machawa wa wazungu ili waendelee kutawaliwa.
 
Mleta mada mwambie kuhusu Katiba Mpya ataruka kimanga🤣🤣
 
🤣🤣🤣
 

Je tanzania ina instability?? au umeongea point ukapitiliza
 
Je tanzania ina instability?? au umeongea point ukapitiliza

Instability sio lazima kuwe na mapigano!! Kwa mfanyabiashara/ muwekezaji kuwekeza anaangalia usalama wa uwekezaji wake [ RISK AVERSION} Hivyo kama nchi ina mahakama ambazo hazitendi haki na mahakama zimesheheni majaji wala rushwa, hiyo kwa mfanyabiashara/ muwekezaji ni no no situation!! Nchi inayonuka rushwa na mahakama sisizokuwa huru ni UNSTABLE as far as investors are concerned!!
 
Hapana anauza Ngorongoro warabu wanataka nyama poli sio bahari, kwao bahari ipo.
Rais Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Makamu wa Rais ambaye ni Waziri Mkuu wa Nchi za Falme za Kiarabu na Mtawala wa Dubai, Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum

Amekutana naye baada ya kuhutubia katika Maonesho ya Dubai Expo 2020 katika Mji wa Dubai leo Februari 26, 2022
 
Doh ngorongoro yetu[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Wanaongea kiarabu wenyewe kwa wenyewe wanandugu na kuuziana Ngorongoro sio?!
 


JK alishawahi kuulizwa hilo swali Tanzania inakwama wapi akajibu hajui…

Km kiongozi wako anajibu hivyo na yeye yupo jikoni kilichobaki wewe lima zako mchicha siku ukiambiwa wewe ni msukule wa waarabu utakachovuna chochote kiende kwao uwe mpole tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…