Wote wawili hao ni mashetwani, mume na kimada wake, na adhabu yao wataipata hapa hapa duniani
Leo nimeudhuria msiba wa mwanafunzi mwenzangu,ambaye amefiwa na mama yake mdogo,...katika msiba huo mengi yalijitokeza lakini moja kubwa ni hili la kimada wa mume wa huyo marehemu,....kimada huyo alitoa siku 3 za mke kuishi au kufa na kumuachia mume atanue nae.....na hatimae mke leo amefariki.....je nani wa kulaumiwa hapo wana Jf..mume aliyetafuta nyumba ndogo au mwanamke aliyetoa maneno ya kutishia maisha...
Sikuzake za kufa zimefika mengine inakua sababu iliwatu wapate lakusema,hakuna binadamu mwenye uwezo wakumtoa roho mwenzie ispokua mwenyezi mungu awe ametaka..
Sikuzake za kufa zimefika mengine inakua sababu iliwatu wapate lakusema,hakuna binadamu mwenye uwezo wakumtoa roho mwenzie ispokua mwenyezi mungu awe ametaka..
Huyo kimada nae atakufa tu!
Kinachofuata ni huyo mume kuuliwa na kimada ili arithi mali!!