Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Kwa kufeli huku kwa wanafunzi wa Kidato cha nne (wote siyo watoto) ni lazima tufanye uamuzi ama wa Kutumia Kiingereza au Kiswahili Kufundishia Maarifa kwenye taasisi zetu za Elimu. Kama maarifa hupitishiwa kwenye Lugha basi Lugha ni chombo muhimu sana kwenye kujenga Elimu Imara kwenye jamii yoyote ile.
Kama tunaamini Kiswahili hakifai kufundishia ni lazima tukiondoe kufundishia kuanzia darasa la Kwanza hadi la Saba badala yake tukikumbatie Kiingereza,na kama tunadhani Kiingereza kimeshindwa kututoa hapa tulipo, basi tuachane nacho na kurudi kwenye kutumia Kiswahili katika kufundishia Maarifa kwenye taasisi zetu za Elimu hapa nchini!! Uamuzi huu ni LAZIMA ufanyike sasa.
Kama tunaamini Kiswahili hakifai kufundishia ni lazima tukiondoe kufundishia kuanzia darasa la Kwanza hadi la Saba badala yake tukikumbatie Kiingereza,na kama tunadhani Kiingereza kimeshindwa kututoa hapa tulipo, basi tuachane nacho na kurudi kwenye kutumia Kiswahili katika kufundishia Maarifa kwenye taasisi zetu za Elimu hapa nchini!! Uamuzi huu ni LAZIMA ufanyike sasa.