Amana, Temeke au Mwananyamala

PingPong

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2008
Posts
926
Reaction score
160
Wasalaam wakuu...naomba kuuliza kuwa kati ya hospitali ya temeke, amana na mwananyamala ipi ina nafuu kwenye utoaji huduma ya afya kwa upande wa vipimo na huduma nyingine kwa wagonjwa.....kwani natumai hapa wapo wanaofanya kazi katika hospitali mbalimbali .....naombeni mchanganuo wenu kwa yeyote anaejua....shukrani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…