Amanda Atoa Sababu Kuu Kwa Nini Bongo Movies Wanapenda Kusagana

Kwa hiyo na yeye ameamua kusagana baada ya kuachwa na bwana misosi?
 
Jaribu kuandika vitu vyenye fact izo pics mngeweka ili tuwaamini,jaribuni kufanya mmb kidigital
 
Jaribu kuandika vitu vyenye fact izo pics mngeweka ili tuwaamini,jaribuni kufanya mmb kidigital

Stori hio iliandikwa kutoka blog ya XDEEJAYZ....lakini hio stori ya hizo picha ilikuwa ya kitambo tangu mwanzo wa mwezi wa novemba
 
Siku iz ndo zao,ukiigiza movie moja tu,ata kama ni scene mpito unaitwa STAR,sasa sijui hawa waandishi hawajui maana ya star au vip

hahahaaa hao ndio macelebrities wa Bongo tunagongana nao tu kwenye dala dala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…