Pre GE2025 Amani Golugwa amefika ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa wa Kipolisi Kinondoni kufuatia wito wa Polisi uliotolewa kwake

Pre GE2025 Amani Golugwa amefika ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa wa Kipolisi Kinondoni kufuatia wito wa Polisi uliotolewa kwake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa kamili hii hapa

Screenshot_2025-02-25-21-18-50-1.png

Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA-Bara Mhe Amani Golugwa leo amefika ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa wa Kipolisi Kinondoni kufuatia wito wa Polisi uliotolewa kwake na Jeshi hilo tarehe 24 Februari 2025.

Mhe Golugwa alisindikizwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mhe Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Bara Mhe John Heche, Mjumbe wa Kamati Kuu Mhe Godbless Lema na Wakili wa Kujitegemea Hekima Mwasipu

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Baada ya kufika ofisini Kamanda wa Upelelezi wa Mkoa Davis Msangi - SSP alimweleza Mhe Golugwa atoe ufafanuzi wa kitu gani kimepangwa kufanyika tarehe 27/02/2025 kupitia kauli ambayo amesikika kwenye video fupi jongefu akizungumza katika kuhamasisha kuhusiana na tukio la kichama linalokusidiwa kufanyika tarehe hiyo.
 
Wasiojulikana wakizidi kupewa vyeo sasa serikalini ili kuonesha kuwa wahusika ndio wenye vyeo sasa.
 
Hakuna tukio lolote. Nyumbu wanasetiwa wapigwe hela kupitia michango.
 
Taarifa kamili hii hapa

View attachment 3249462
Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA-Bara Mhe Amani Golugwa leo amefika ofisi ya Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa wa Kipolisi Kinondoni kufuatia wito wa Polisi uliotolewa kwake na Jeshi hilo tarehe 24 Februari 2025.

Mhe Golugwa alisindikizwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mhe Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Bara Mhe John Heche, Mjumbe wa Kamati Kuu Mhe Godbless Lema na Wakili wa Kujitegemea Hekima Mwasipu

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Baada ya kufika ofisini Kamanda wa Upelelezi wa Mkoa Davis Msangi - SSP alimweleza Mhe Golugwa atoe ufafanuzi wa kitu gani kimepangwa kufanyika tarehe 27/02/2025 kupitia kauli ambayo amesikika kwenye video fupi jongefu akizungumza katika kuhamasisha kuhusiana na tukio la kichama linalokusidiwa kufanyika tarehe hiyo.
Ukiona polisi wanahoji sana ujue kwamba CCM wa hofu sana
 
Back
Top Bottom