Amani Karume: Nilishangaa wana-CCM wenzangu wanahofia wapinzani kushinda, Uchaguzi 2015 Zanzibar nilisikitika, niliwauliza hawa wenzetu si Watanzania?


Lete ushahidi muingereza alimsimamia Jemshid aeneze uislamuu Zanzibar

Unajifanya kukimbia ki Aina swali,
Wale wasomi waliomtoa makosa Padri Peter Smith
Ni Nani Na makosa yapi ?

Usisahau jukumu ulilopewa Na mungu la kulinda muungano
 
Hiyo ni hali aliyokuwa anaitaka miaka mingi,awe Rais angalau apate nafasi ya kuikwamua Zanzibar,na alijaribu kufanya mambo mengi bila kuyashirikisha haya maccm bara. Lakini mambo mengi pia aliyoyawazia kuikwamua Zanzibar alikwamishwa na miccm bara
Labda nikwambie kitu. Kuanzia babaake Mzee Abeid Amani Karume na yeye Amani Abeid Amani Karume wote waliitegemea zaidi CCM kwa mustakabali wa maisha yao ya kisiasa kuliko CCM ilivyowategemea wao. Sana sana CCM imewatumia sana kwa faida yake. Na hata leo ( and mark my words), Family ya Karume is NOTHING bila back up ya CCM and they (Karume Family) knows it! Need I say more?
 
Hivi huyu mzee kasahau yeye ndio sababu wazanzibar kuwawa kule pemba mwaka 2001. Atulie nae dawa imungie
 
Huu unafiki tu. Kwanini yeye hakupave hizo political roads wakati alipokuwa Rais?
 
Jumbe alitimuliwa sababu ya fitna ya Mwarabu Mpemba Maalim Seif aliyemfitini ili ashike yeye baadaye CCM wakagundua Maalim Seif nyoka ndie anasababisha waswahili ngozi nyeusi wasitawale kwa amani Zanzibar wakamtumua
 
Jumbe alitimuliwa sababu ya fitna ya Mwarabu Mpemba Maalim Seif aliyemfitini ili ashike yeye baadaye CCM wakagundua Maalim Seif nyoka ndie anasababisha waswahili ngozi nyeusi wasitawale kwa amani Zanzibar wakamtumuaInaelekea


Huo uarabu ulimpa wewe ???, ulikuwepo alipomfitini ?? Sikushangai labda wapemba walikupa ile kitu mbaya ambayo kwako ni nzuri






 
Wakiwa madarakani wanakuwa vipofu wa akili? au wakishatoka hawataki wenzao nao wafaidi?
Kwa madaraka aliyo kuwa nayo wakati ule, angesimama kidete kutetea msimamo wake huu wa sasa, kweli Zanzibar ingekuwa mbali, na Tanganyika nayo labda ingesalimika
 
Jumbe alitimuliwa sababu ya fitna ya Mwarabu Mpemba Maalim Seif aliyemfitini ili ashike yeye baadaye CCM wakagundua Maalim Seif nyoka ndie anasababisha waswahili ngozi nyeusi wasitawale kwa amani Zanzibar wakamtumua
Kuna maswali kadhaa ya msingi nimekuuliza lakini umeyakwepa...

Na umeyakwepa kwa sababu allegation zako hazina msingi wowote!!

Na tukija hilo la "kumfitini", je alegations dhidi ya Jumbe zilikuwa za kupikwa au sahihi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…