eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,379
Wengi mtakubaliana na mimi kwamba amani na utulivu wetu kama nchi mwisho wake ulikuwa 1995
Baada ya hapo amani na utulivu wetu tuliviweka rehani pale tulipoanza kubinafsisha kila kilicho chetu kwa watu binafsi kutoka katika umiliki wa serikali bila umakini
Na kwa watu wenye mapenzi mema na nchi au wazalendo wa nchi hawawezi kukaa kimya kuona mali zetu wamepewa watu bila sisi kujua tunanufaika vipi
Hapa ndipo walioiweka rehani amani na utulivu wetu walipoyaangalia matumbo yao tu huku nchi ikibski yatima bila mtetezi kwa kuwa alibinafsisha mali ya nchi bila umakini hakuwa na uwezo wa kuongea wala kukemea na hapa ndipo tuliwahitaji watu majasiri wa kusema tunapoelekea sipo na watu hawa hawakuwa ndani ya serikali bali nje ya serikali
Na hapa ndipo tulipojua umuhimu wa vyama vya upinzani
Hapa ndipo tukajua nini umuhimu wa kuwa na vyama vya upinzani
Msjasiri kutoka ndani ya vyama vya upinzani walianza kuonyesha namna serikali ilivyobinafsisha mali ya watanzania bila kuangalia maslahi yao wao
Na hapa ndipo amani ya nchi na utulivu wake ulipopotea na sasa naweza kusema amani na utulivu kwa Tanzania haupo tena kwa kuwa waliosababisha yote haya hawataki kuambiwa ukweli na sasa hujiona kama malaika
Huku wakiapa kuua kujeruhi kwa watakaonyesha kimbelembele katika hili
Baada ya hapo amani na utulivu wetu tuliviweka rehani pale tulipoanza kubinafsisha kila kilicho chetu kwa watu binafsi kutoka katika umiliki wa serikali bila umakini
Na kwa watu wenye mapenzi mema na nchi au wazalendo wa nchi hawawezi kukaa kimya kuona mali zetu wamepewa watu bila sisi kujua tunanufaika vipi
Hapa ndipo walioiweka rehani amani na utulivu wetu walipoyaangalia matumbo yao tu huku nchi ikibski yatima bila mtetezi kwa kuwa alibinafsisha mali ya nchi bila umakini hakuwa na uwezo wa kuongea wala kukemea na hapa ndipo tuliwahitaji watu majasiri wa kusema tunapoelekea sipo na watu hawa hawakuwa ndani ya serikali bali nje ya serikali
Na hapa ndipo tulipojua umuhimu wa vyama vya upinzani
Hapa ndipo tukajua nini umuhimu wa kuwa na vyama vya upinzani
Msjasiri kutoka ndani ya vyama vya upinzani walianza kuonyesha namna serikali ilivyobinafsisha mali ya watanzania bila kuangalia maslahi yao wao
Na hapa ndipo amani ya nchi na utulivu wake ulipopotea na sasa naweza kusema amani na utulivu kwa Tanzania haupo tena kwa kuwa waliosababisha yote haya hawataki kuambiwa ukweli na sasa hujiona kama malaika
Huku wakiapa kuua kujeruhi kwa watakaonyesha kimbelembele katika hili