Amatus Liyumba: Balaa!

Dah!..
 
Kuna story nili isikia jana Efm nadhani muusika atakuwepo kwenye hii list.
 
Kipindi tuko watoto tuliskia Sanaa hizo story za gari nyekundu ,Yaani nilivokua mkubwaa Sasa dah[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Hivi ni Joan yule mwanamuziki? Liyumba chain yake hatari hadi Mange Hahaaa -Ntiyubaliwe,Vicky,Uwoya nadhani ndipo alipopata Grid hapo akaipeleka kwa Ndikumana na Janjaro.
Joan lichotara hivi lilikuwa litangazaji Chanel kumi, sasa hivi anauza mikorogo insta, anajiita directorJoan...liyumba kazaa one kid

Uwoya mdudu kaupata kwa jamaa anaitwa babu, walikuwa wanaishi sinza, jamaa kilikuwa na visenti vya poda
 
Joan lichotara hivi lilikuwa litangazaji Chanel kumi, sasa hivi anauza mikorogo insta, anajiita directorJoan...liyumba kazaa one kid

Uwoya mdudu kaupata kwa jamaa anaitwa babu, walikuwa wanaishi sinza, jamaa kilikuwa na visenti vya poda

Oh Director Joan nampata kumbe ndiyo huyo hahaaaa.....Yes Kid wa Liyumba nakumbuka alidakwa na poda akafungwa nadhani kashatoka ,Uwoya noma sana anaunganisha watoto wadogo kinoma ,hana hiana mlezi wa wana.
 
Joan lichotara hivi lilikuwa litangazaji Chanel kumi, sasa hivi anauza mikorogo insta, anajiita directorJoan...liyumba kazaa one kid

Uwoya mdudu kaupata kwa jamaa anaitwa babu, walikuwa wanaishi sinza, jamaa kilikuwa na visenti vya poda
Mtoto yupi wa Joan kazaa na lyumba

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…