Amazing Facts

Salahan

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2014
Posts
2,963
Reaction score
3,685
Amazing Facts

[emoji117]inachukua sekunde 7 baada ya kumeza chakula kufika tumboni
[emoji117]Mtu akifa,ubongo hutumia dakika 15 kumalizia shughul za mwilini
[emoji117]mwanamke ndio kiumbe chenye huruma zaidi na kikatili zaidi hapo hapo
[emoji117]Urefu wa kidole gumba cha mwanaume ni Mara 3 upate urefu wa uume wake.
[emoji117]Mate ya binadamu yanaweza yakawa sumu
[emoji117]Wanawake washamaliza kusoma,
[emoji117]wanaume bado wanaangalia vidole gumba vyao

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
hiyo ya mwisho kama sijaielewa vile!, ebu nisaidieni hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…