- Feb 10, 2006
- 4,324
- 13,967
Watu kila siku tunapita tu sijui tulifumbwa macho na nan aiseedah mkuu watu walikuwaga wabaya hata comment moja kwa mkulaππ
ngoja nikafukue na lingineWatu kila siku tunapita tu sijui tulifumbwa macho na nan aisee
hahahaππ8 July 2009 nilikua darasa la 5.
8 July 2009 nilikua darasa la 5.
kumbe kuna vitoto vingi sana humu8 July 2009 nilikua darasa la 5.
Hata sijui,ninachojua mzee wangu alikua na PC moja ya window xp hatari sanahivi smartphones zilikuepo?
Halafu hapa jukwaani mnawajibu watu vibaya, wengine sisi ni baba zenu8 July 2009 nilikua darasa la 5.
8 July 2009 nilikua darasa la 5.
Hata sijui,ninachojua mzee wangu alikua na PC moja ya window xp hatari sana
Unaona sasa mkuu,kumbe humu tunasumbuka na watoto, ukute wewe ulishawahi kunitunikana humu jukwaani,2009 darasa la tano,?
Sent using Jamii Forums mobile app