AMAZING! Tumia mmea huu kujitibu jino

AMAZING! Tumia mmea huu kujitibu jino

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Amani kwako mdau.

Mara nyingi siri ya uponyaji ipo kwa Mwenyaazi Mungu mja wa rehema na huwapa wachache nuru ya kujua tiba kutokama na mimea.

Nimeona nisifaidike mwenyewe, huu ni mmea ambao unajiotea wenyewe tu hapo mtaani kwako endapo tu kuna sehemu nyasi zinajiotea pasi kupandwa na mtu.

Mmea huu uharibu (microbe caridentaria - sijui kwa kiswahili ni nini) bila kujali kiwango chake hata kama jino limetoboka kwa ukubwa wowote.

Ukiwa umekauka ni vizuri ila kwa sababu ya muda wa kuandaa basi chemsha na uiache ipoe kwa joto la wastani kisha sukutua kinywani mwako mara mbili kwa siku hadi utakaporidhika kuwa umepona.

20220829_112341.jpg
 
Nikiukausha mwenyewe je? Na je nikiukausha nautumiaje?
 
Kwa makadilio ya vipimo ipo vipi yani wastani wa matawi mangapi kwa Lita moja ya maji.
 
Mtu mwingine apige picha yskiwa hayachumwa,tuyatambue
 
Nikiukausha mwenyewe je? Na je nikiukausha nautumiaje?
☝🏾Mkuu chochote unachoweza fanya ili mradi upone, sijaandika huruhusiwi kukausha, matumizi ni kama unavyopika chai.

Kwa makadilio ya vipimo ipo vipi yani wastani wa matawi mangapi kwa Lita moja ya maji.
☝🏾Chuma hata 1ton na kausha ila kwenye matumizi fanya kitu kama unavyopika chai then tumia.

So kama chai hujui inapikwaje basi rudi kwa mamako akuelekeze.
 
☝🏾Mkuu chochote unachoweza fanya ili mradi upone, sijaandika huruhusiwi kukausha, matumizi ni kama unavyopika chai.


☝🏾Chuma hata 1ton moja ukiweza kausha ila kwenye matumizi fanya kitu kama chai then tumia.

So kama chai hujui inapikwaje basi rudi kwa mamako akuelekeze.
Umemaliza kibabe sana.Asante.
 
Amani kwako mdau.

Mara nyingi siri ya uponyaji ipo kwa Mwenyaazi Mungu mja wa rehema na huwapa wachache nuru ya kujua tiba kutokama na mimea.

Nimeona nisifaidike mwenyewe, huu ni mmea ambao unajiotea wenyewe tu hapo mtaani kwako endapo tu kuna sehemu nyasi zinajiotea pasi kupandwa na mtu.

Mmea huu uharibu (microbe caridentaria - sijui kwa kiswahili ni nini) bila kujali kiwango chake hata kama jino limetoboka kwa ukubwa wowote.

Ukiwa umekauka ni vizuri ila kwa sababu ya muda wa kuandaa basi chemsha na uiache ipoe kwa joto la wastani kisha sukutua kinywani mwako mara mbili kwa siku hadi utakaporidhika kuwa umepona.

View attachment 2338182

Sio kifa uwongo hayo?
 
[emoji1489]Mkuu chochote unachoweza fanya ili mradi upone, sijaandika huruhusiwi kukausha, matumizi ni kama unavyopika chai.


[emoji1489]Chuma hata 1ton na kausha ila kwenye matumizi fanya kitu kama unavyopika chai then tumia.

So kama chai hujui inapikwaje basi rudi kwa mamako akuelekeze.

Mbula:::::
 
Back
Top Bottom