Amazon.com gift card

Kuziwa

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2011
Posts
248
Reaction score
212
habari wanajamvi,
kuna shindano flani nimeshiriki na nimeshinda, ila zawadi zao wanatoa kwa gift codes za amazon.com, nimeshaingiza hiyo gift code kwenye account yangu ya amazon, ishu inakuja kwenye kununua kitu kwa amazon, trust me, nilifungua account tu amazon kwa ajili ya hiyo zawadi ila sina utaalamu wowote wa kununua kwa amazon, nipo Mwanza, je nikinunua kitu kwa balance niliyo nayo amazon.com nitakipataje, je Tanzania kuna maduka yanayo kubali manunuzi kwa amazoni?
nitashukuru kwa mchango wenu.
 
ishu inakuja kwenye kununua kitu kwa amazon, trust me, nilifungua account tu amazon kwa ajili ya hiyo zawadi ila sina utaalamu wowote wa kununua kwa amazon, nipo Mwanza, je nikinunua kitu kwa balance niliyo nayo amazon.com nitakipataje,
Kuna maswali mawili ya msingi.
1. Jinsi ya kununua kitu kwenye mtandao - Hili linajibiwa na hii Thread: Jifunze Jinsi ya kufanya Manunuzi kwa Ebay mtandaoni

2. Jinsi ya kupata bidhaa yako ukiwa mwanza - Hili linajibiwa na hii thread: Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

je Tanzania kuna maduka yanayo kubali manunuzi kwa amazoni?
Hakuna kwa TZ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…