Kalpana JF-Expert Member Joined Jun 16, 2017 Posts 32,603 Reaction score 62,269 Dec 11, 2019 #21 Mungu tunaomba ulinzi wako juu ya watoto peke yetu hatuwezi
W WIGWA JF-Expert Member Joined Jul 27, 2019 Posts 1,558 Reaction score 1,225 Dec 11, 2019 #22 The Sun-of-a Beach, du mkuu hakika hawa watu wanatibua akili yaani hao kweli wanatakiwa adhabu yao ni kufa kwa kukatwa kiungo kimojakimoja mwezi mmoja mpaka ana bakiza shingo tu
The Sun-of-a Beach, du mkuu hakika hawa watu wanatibua akili yaani hao kweli wanatakiwa adhabu yao ni kufa kwa kukatwa kiungo kimojakimoja mwezi mmoja mpaka ana bakiza shingo tu
Fursa Pesa JF-Expert Member Joined May 30, 2012 Posts 4,631 Reaction score 3,527 Dec 11, 2019 #23 Kama mtuhumiwa amejisamisha mwenyewe Polisi,hao watu wengine wanne waliokamatwa ni kwa ajili ya nini.? Poleni wafiwa kwa msiba.
Kama mtuhumiwa amejisamisha mwenyewe Polisi,hao watu wengine wanne waliokamatwa ni kwa ajili ya nini.? Poleni wafiwa kwa msiba.
Mine eyes JF-Expert Member Joined Apr 11, 2016 Posts 6,496 Reaction score 7,162 Dec 11, 2019 #24 Labda sijaelewa vyema au mwandishi hakumwagika vizuri! Kabakwa mpaka kafa...??
KAJOKELAA Senior Member Joined Oct 17, 2019 Posts 123 Reaction score 107 Dec 11, 2019 #25 Hata buku 2000 ya kwendea buguruni hana,huyo ni mzembe Sent using Jamii Forums mobile app
Kendrick Rama JF-Expert Member Joined May 22, 2019 Posts 409 Reaction score 456 Dec 11, 2019 #26 kuna watu wamepatwa na tamaa baada ya kusikia ugali unamwagwa huko jela sababu walaji hakuna