ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Acheni nyetoNi kwa Wale tunaomuheshimu Mungu na kumtii kile ambacho ametuagiza kwamba tusizini.Sisi mabikra wa kiume na wa kike tumeamua kusubiri mpaka kwenye ndoa ndo tuanze hako kamchezo tukutane hapa kuzidi kutiana moyo na kupeana hongera kwa kujitunza huko kwani tumeepuka mengi sana.tumethubutu kujiweka mbali na lile shimo linalopoteza na tumeweza japo majaribu ni mengi lakini hayatufanya kutamani kulionja lile tunda.big up kwa wana jf wote ambao hatujawahi kusex
Tusikate tamaa tuendelee kujitunza.
Atakufa na utamu wake kama muwaAiseeeee hasa huku niliko kwa wagogo mtoto miaka 5 ameshaanza onjwaaa wewe utakufa na utamu wako
Mambo bestAiseeeee hasa huku niliko kwa wagogo mtoto miaka 5 ameshaanza onjwaaa wewe utakufa na utamu wako
Duuuh[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Kwakweli tunastahili pongezi mabikiria wa jf
! [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] Hadi wewe?Kwakweli tunastahili pongezi mabikiria wa jf
Mambo ya jf ni zaidi ya kusahauwe si ulisima umempa mtu mimba juzi juzi hapa, ukawa unaomba ushauriwe jinsi ya kuikataa.
Msaada: Naombeni mbinu za kukataa mimba - JamiiForums
Nawapenda sana nyie mnaotunza kumbukumbu! Njia ya mwongo ni fupi sana. Hawa ndio unawakuta vijiweni anakuambia katembea na fulani, kapita kwa fulani kumbe anakula kwa macho tu! Kazi kupiga nyeto. Ampe mimba ana uwezo huo? Nyooo! madomo zege hata kutongoza atakuwa hajui!we si ulisima umempa mtu mimba juzi juzi hapa, ukawa unaomba ushauriwe jinsi ya kuikataa.
Msaada: Naombeni mbinu za kukataa mimba - JamiiForums
hahaaaa, mleta uzi njoo kaburi lako limefukuliwa huku, kumbe siyo bk labda birika.we si ulisima umempa mtu mimba juzi juzi hapa, ukawa unaomba ushauriwe jinsi ya kuikataa.
Msaada: Naombeni mbinu za kukataa mimba - JamiiForums
Hahahahahaaaaaaa... huyu si ndege john????we si ulisima umempa mtu mimba juzi juzi hapa, ukawa unaomba ushauriwe jinsi ya kuikataa.
Msaada: Naombeni mbinu za kukataa mimba - JamiiForums