Si bora wewe una getto na unajitegemea bro, mi bado nipo home 24yrs now, ndo najichanga changa nichonge ka kitanda na godoro nisepe japo ni last born nianze kujipambania kivyangu.mkuu mimi naona ndo naanza alifu kwa ujiti sina hata mpango mmoja ulio tiki zaid ya kununua mashuka getto mambo hayaendi kabisa yan kudadeki
Kitendo cha kuwa hai na afya tele tayari ni utajiri namba moja kwa upande wangu.hilo ni lengo namba 1Wakuu habari za mihangaiko?
Katika maisha yako ambayo Mungu amekupa mpaka sasa Kuna mipango na mtarajio mengi sana uliyategemea kuyatekeleza kabla ya kufika umri fulani. Lakini mipango si matumizi.
Je wewe yote uliyo panga umeyatimiza?
Mimi bado sana sana kutimiza ya kwangu.
Karibuni kwa ushuhuda na ushauri..
#staysafe CORONA iphoo mleu..
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Inaonekana humu JF wengi wao wamefanikiwa malengo yao. Hongereni sana WakuuSi bora wewe una getto na unajitegemea bro, mi bado nipo home 24yrs now, ndo najichanga changa nichonge ka kitanda na godoro nisepe japo ni last born nianze kujipambania kivyangu.
Haya mambo ya kula kulala naona kama jau tu, hakuna kitu kizuri kama kukaa na kula chakula ulichokitolea jasho mwenyewe, siyo ugali wa shikamoo unakula huku ukijihisi nafsi kukusuta.