napenda kuwatia moyo wale ambao walijiandikisha lakini hawajaona majina yao katika vituo vya kupigia kura,tafadhali hakikisha unafika ofisi ya kijiji au ofisi ya kata yako kuna madaftari ya kudumu ya wapiga kura ambayo husambazwa katika kila kijiji na kata kwa ajili ya watu kuhakikisha majina yao pale yanapokuwa yamekosekana katika list,hivyo hadi sasa nimepata taarifa kuwa hayo madaftari ya kudumu yameshasambazwa hivyo pls nendeni mkahakikishe kwani pengine ni makosa ya kimaandishi tu yametokea ndio maana hujaona jina lako,usikubali kupoteza haki yako kwa ajili hujaona jina lako,ni hayo tu.
napenda kuwatia moyo wale ambao walijiandikisha lakini hawajaona majina yao katika vituo vya kupigia kura,tafadhali hakikisha unafika ofisi ya kijiji au ofisi ya kata yako kuna madaftari ya kudumu ya wapiga kura ambayo husambazwa katika kila kijiji na kata kwa ajili ya watu kuhakikisha majina yao pale yanapokuwa yamekosekana katika list,hivyo hadi sasa nimepata taarifa kuwa hayo madaftari ya kudumu yameshasambazwa hivyo pls nendeni mkahakikishe kwani pengine ni makosa ya kimaandishi tu yametokea ndio maana hujaona jina lako,usikubali kupoteza haki yako kwa ajili hujaona jina lako,ni hayo tu.
Ujumbe huu ni kwa wana JF (majority of them might be eligible to vote but wont vote). Sasa ndugu, wanakata au wanakijiji wangapi watasoma huu ujumbe wako?
Ujumbe huu ni kwa wana JF (majority of them might be eligible to vote but wont vote). Sasa ndugu, wanakata au wanakijiji wangapi watasoma huu ujumbe wako?
Asante kwa taarifa hii nzuri.check your details on;
The National Electrol Commission of Tanzania - Homepage
Mwarifu na mwingine Peoples .................
napenda kuwatia moyo wale ambao walijiandikisha lakini hawajaona majina yao katika vituo vya kupigia kura,tafadhali hakikisha unafika ofisi ya kijiji au ofisi ya kata yako kuna madaftari ya kudumu ya wapiga kura ambayo husambazwa katika kila kijiji na kata kwa ajili ya watu kuhakikisha majina yao pale yanapokuwa yamekosekana katika list,hivyo hadi sasa nimepata taarifa kuwa hayo madaftari ya kudumu yameshasambazwa hivyo pls nendeni mkahakikishe kwani pengine ni makosa ya kimaandishi tu yametokea ndio maana hujaona jina lako,usikubali kupoteza haki yako kwa ajili hujaona jina lako,ni hayo tu.
Asante kwa taarifa hii nzuri.
NAOMBA KUULIZA KWA WENYE KUJUA :
Nimeingiza particulars na kuona kuwa Registration centre inayotokezea ni sehemu ambayo siyo tuliyojiandikishia. Ina maana kituo cha kupigia kura kimebadilishwa? Kama jibu ni ndiyo, hii haitawafanya wengi kupoteza fursa ya kupiga kura maana majina yao hataonekana?
hkuna orodha ila unaweza ukaangalia kituo chako cha kupigia kura ktk website ya NECHakuna orodha ya wapigakura katika website ya NEC, msijisumbue!!
hkuna orodha ila unaweza ukaangalia kituo chako cha kupigia kura ktk website ya NEC
myb uende kucheki kwenye daftari la kudumu lillio kwenye kata o kijiji choko as Golder says tmie pia nimecheki jina langu kwenye Bango la kituo sijaona lakini nilipoingia kwenye web ya NEC nimelikuta je hii haiwezi kuniletea tatizo katika upigani wa kura?sitaki kukosa haki yangu kipindi hiki muhimu