Ambao nyuzi zetu hazitembeagi tukutane hapa

Sawa mkuu
 
Kuna watu sjui hatuna hoja zenye nguvu au ni gundu, kila uzi unakosa wachangiaji
[emoji1787][emoji1787]
Hopefully hata huu utabuma tu.
Vitu vya kuzingatia

1. Pangilia vizuri kichwa Cha habari
2. Piga timing nzuri ya muda wa kuandika au kuachia Uzi wako,usije kulaumu watu wakati unaweka Uzi muda wa kazi na watu wengi humu hawako kizembe jua hilo .
3. Kama una hela watafute chawa wako wakukomenti Kila Uzi wako hata ukiandika utumbo. Hii itasaidia kuufanya Uzi wako uonekane tena baada ya kukosa airtime Kwa mara kwanza,na kazi hiyo naiweza mkuu Kama mafungu yapo njoo ofisini kwangu tuyajenge
 
Kuna watu sjui hatuna hoja zenye nguvu au ni gundu, kila uzi unakosa wachangiaji
[emoji1787][emoji1787]
Hopefully hata huu utabuma tu.
 
Uende ata replies 50 basi
 
Kama unapost vitu watu hawapendi unadhan watachangia?
We si unaona ule wangu wa kumpenda uncle ulivyotembea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bina mie sitaki ujue, lol
 
Tafuta fiction story, love story, au story za kichawi speed ya kutembea itakuwa kubwa
 
Kuna watu sijui hatuna hoja zenye nguvu au ni gundu, kila uzi unakosa wachangiaji
[emoji1787][emoji1787]
Hopefully hata huu utabuma tu.
Kuna masuperstaa humu hata hoja za kipuuzi tu zinachangiwa...........humu ukiandika mambo ya ngono, Siasa za haya mavyama au wale wa diamond na Kiba........watakesha usiku kucha kubishana........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…