ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Inaonekana una machungu na wapenzi wa soka.....but wao hawana habari na ww...Mimi naona fresh mda mwingine huwa nashukuru Mungu kabisa.
Machungu kiaje sasa?Inaonekana una machungu na wapenzi wa soka.....but wao hawana habari na ww...
Bro tupo bize na Afcon....hv a good timeMachungu kiaje sasa?
99%ya wanaume wanaoshabikia mipira huwa ni Wavivu ...wapiga domo sana...watu wa nishe mishe tu ...hawapendi kufanya kzi kwa bidii..mwanaume makini kbs hana huo muda kupiga mikelel masaa ma2 mara anyanyuke..mara aruke yaan vurugu tupu ukiwaangalia utadhan wanatolewa mashetani vile..!
Ahahaha mkuu umenivunja mbavu
UnΓ tupatia sifa mbaya
Nimeiandika kwa hisia sana...!jana kuna kazi nimempa kazi fulan ya muhimu sana...nikakubaliana naye usk anikabidhi..akaniambia saa12 naacha naenda chek mpira...nikamwangalia nikakaa kimya...asbh ananiomba hela ya chai..mbafu sana...kwann asingemaliza ile kazi...ndo hao naongelea..mnajitoaga ufaham sana..unaacha kazi unaenda kushabikia majitu baki[emoji57][emoji57]..
daaah mkuu joowzey umetisha. chukua mzinga wa K-Vant nskuja kulipia soon!!!Wasioshabikia mpira wengi wao huwa ni mashoga
when an idiot acknowledge the ignorance of an another idiotNi upumbavu mkubwa yani unamshobokea mwanaume mwenzako akiwa uwanjani kutafuta ridhiki yake..
Wengine huwa wanakaa na wake zao eti wanaangalia wanaume wenzano wakiwa uwanjani[emoji125]
Mimi huwa naangalia netball angalau kuna wanawake wanacheza
true huwezi kumpeleka james delicious akaangalie mpiraWasioshabikia mpira wengi wao huwa ni mashoga
huo ni ukweliAkili huna
kumbe kombe la dunia sio la mbele?Mpira wa mbele sijawahi kuuelewa labda wa hapa ndani na kombe la dunia
Nimesoma Comment za watu nimebaki nacheka tu. ππππVipi hapo jamvini mshamaliza kusuka vikapu vya ukili na dada zako?
[emoji23][emoji23][emoji23]yani ulitakiwa akae kimya...Nimesoma Comment za watu nimebaki nacheka tu Kaka. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]