Hahahaaaa. Lol.[emoji23][emoji23][emoji23]yani ulitakiwa akae kimya...
99%ya wanaume wanaoshabikia mipira huwa ni Wavivu ...wapiga domo sana...watu wa nishe mishe tu ...hawapendi kufanya kzi kwa bidii..mwanaume makini kbs hana huo muda kupiga mikelel masaa ma2 mara anyanyuke..mara aruke yaan vurugu tupu ukiwaangalia utadhan wanatolewa mashetani vile..!
Ni upumbavu mkubwa yani unamshobokea mwanaume mwenzako akiwa uwanjani kutafuta ridhiki yake..
Wengine huwa wanakaa na wake zao eti wanaangalia wanaume wenzano wakiwa uwanjani[emoji125]
Mimi huwa naangalia netball angalau kuna wanawake wanacheza
Basi na wewe utakuwa unawaangalia wanawake wenzio
HahahaWasioshabikia mpira wengi wao huwa ni mashoga
Hivi unajua kama pale Arsenal kuna sehemu maalumu kwaajili ya mashoga? Hoja yako bado ni mufilisi...Wasioshabikia mpira wengi wao huwa ni mashoga
99%ya wanaume wanaoshabikia mipira huwa ni Wavivu ...wapiga domo sana...watu wa nishe mishe tu ...hawapendi kufanya kzi kwa bidii..mwanaume makini kbs hana huo muda kupiga mikelel masaa ma2 mara anyanyuke..mara aruke yaan vurugu tupu ukiwaangalia utadhan wanatolewa mashetani vile..!
Kwel mkuu,ushabiki sina kabsa ila niwe mchezaji hapo pouwaKitu mieleka,boxing ,langalanga,movies,Mimi mpira napenda zaidi nikiwa naucheza mwenyewe sio kushabikia
Kitu Kama hichoKwel mkuu,ushabiki sina kabsa ila niwe mchezaji hapo pouwa
sure mzazi" wanawake kama mpenzi wako hashabikii mpira jua una date na mwanamke mwenzako"
No offense
team ya RC team ya taifa ya DareslammMimi ni shabiki wa mpira - lakini Siupendi kabisaa mpira wa tanzania kuanzia vilabu vyake mpaka team ya taifa. .
Kwa sababu huwa Nina waona kuwa mpira wa tanzania unaongozwa na vyama vyenye wadau ambao hawana vision za kuliletea taifa maendeleo katika tasnia ya mchezo wa mpira wa miguu
GAYGROONOOSHivi unajua kama pale Arsenal kuna sehemu maalumu kwaajili ya mashoga? Hoja yako bado ni mufilisi...
Kiufupi mpira siupendi wala siuelewi, sijui kama taifa star walicheza na team gani na wala sijui wanachezea nchi gani, bora niangalie recorded za hotuba za Magufuli akiwa waziri wa miundo mbinu kuliko kuangalia mpira...