Ambao tumeachwa kwenye kupanda madaraja japo tulistahili tukutane hapa

Ambao tumeachwa kwenye kupanda madaraja japo tulistahili tukutane hapa

RingaRinga

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2015
Posts
1,047
Reaction score
521
Serikali iliahidi kupandisha madaraja watumishi ambao walipanda madaraja kuishia 2017 kurudi nyuma, na kwamba katika mshahara wa mwezi Mei 2022 wote wliostahili wangebadilishiwa mshahara.

Mimi ni miongoni mwa ambao hawakubadilishiwa. Tatizo ni nini? Kuna kauli ya serikali juu ya ambao hawakubadilishwa mwezi huu kwamba labda tusubiri mwezi ujao? Au ndo imetoka?

Tupeane updates.

Nawasilisha.
 
Nadhani hakuna bro. Mpaka sasa au hawajaamka!
 
Serikali iliahidi kupandisha madaraja watumishi ambao walipanda madaraja kuishia 2017 kurudi nyuma, na kwamba katika mshahara wa mwezi Mei 2022 wote wliostahili wangebadilishiwa mshahara.

Mimi ni miongoni mwa ambao hawakubadilishiwa.
Tatizo ni nini? Kuna kauli ya serikali juu ya ambao hawakubadilishwa mwezi huu kwamba labda tusubiri mwezi ujao? Au ndo imetoka?
Tupeane updates.
Nawasilisha.
Wala usihofu subiri june mzigo utasoma fresh
 
Serikali iliahidi kupandisha madaraja watumishi ambao walipanda madaraja kuishia 2017 kurudi nyuma, na kwamba katika mshahara wa mwezi Mei 2022 wote wliostahili wangebadilishiwa mshahara.

Mimi ni miongoni mwa ambao hawakubadilishiwa.
Tatizo ni nini? Kuna kauli ya serikali juu ya ambao hawakubadilishwa mwezi huu kwamba labda tusubiri mwezi ujao? Au ndo imetoka?
Tupeane updates.
Nawasilisha.
Wewe utakuwa Mwalimu.

Walimu nchi hii mmekuwa takataka kabisa, kila kukicha mnajidhalilisha sana mitandaoni.

Mnadhalilisha sana Watumishi
 
Tumia lugha ya staha mkuu, naye ni binadamu anahisia pia anadai haki yake
Haki yake anadai JF??

Watumishi hawapendwi na watu wasio na ajira.

Unaleta matatizo yako Mitandaoni ndio yatatatuliwa.

Sana sana utaanza kuchekwa, kuwa mitumishi mingi NJAA KALIIIIIII balaa..

Haina Cha Msingi
 
Mkutane hapa? Kufanya nini? Watumishi wa serikali sijui mna matatizo gani, kuna work shop moja iliandaliwa na wizara ya viwanda, biashara na uwekezaji na masoko dhidi ya makampuni binafsi ilifanyika pale Sheraton. Wafanya kazi wenzenu wa wizara wakawa wanachukua maji karanga, korosho, maandazi na vitafunwa vingine wanaficha kwenye mikoba. Almanusra nimzabue kibao mmoja
 
Mkutane hapa? Kufanya nini? Watumishi wa serikali sijui mna matatizo gani, kuna work shop moja iliandaliwa na wizara ya viwanda, biashara na uwekezaji na masoko dhidi ya makampuni binafsi ilifanyika pale Sheraton. Wafanya kazi wenzenu wa wizara wakawa wanachukua maji karanga, korosho, maandazi na vitafunwa vingine wanaficha kwenye mikoba. Almanusra nimzabue kibao mmoja
Hongera sana mwekezaji, au usikute ni muhudumu hapo sheraton ulitaka zibaki upeleke nyumbani ndio maana ukajawa na jazba, siku nyingine uwe unajiwekea zako kulekule jikoni
 
Hongera sana mwekezaji, au usikute ni muhudumu hapo sheraton ulitaka zibaki upeleke nyumbani ndio maana ukajawa na jazba, siku nyingine uwe unajiwekea zako kulekule jikoni
Njaa kali sana nyinyi watu
 
Wewe utakuwa Mwalimu.

Walimu nchi hii mmekuwa takataka kabisa, kila kukicha mnajidhalilisha sana mitandaoni.

Mnadhalilisha sana Watumishi
Mzee nenda taratibu,usiwaite walimu wetu wapendwa takataka kwasababu wametutoa mbali sana,hata huo ujanja wa kuandika humu ni kwasababu ya juhudi za walimu waliokufundisha ktk kukutoa ujinga.Halafu sioni kosa la mleta uzi maana yeye amekuja kuuliza ili ajue hali ipoje kwa wengine.
 
Mzee nenda taratibu,usiwaite walimu wetu wapendwa takataka kwasababu wametutoa mbali sana,hata huo ujanja wa kuandika humu ni kwasababu ya juhudi za walimu waliokufundisha ktk kukutoa ujinga.Halafu sioni kosa la mleta uzi maana yeye amekuja kuuliza ili ajue hali ipoje kwa wengine.
Walimu waliotufundisha sisi hawawezi Genge la walimu wapumbavu wa mwendokasi Kama Hawa wa sasa hivi.

Kila Kona Wana Maisha magumu licha ya ukubwa wa mishahara yao, hawana maadili, walevi, wananuka madeni ya reja reja, halafu Ni mabishi wakati Ni maviilaza ya kutupa.


Nchi hii Elimu sasa hivi imebaki kwa mwanafunzi mwenyewe, asiposoma kea kutegemea hii mivilaza amekwisha.
 
Mkutane hapa? Kufanya nini? Watumishi wa serikali sijui mna matatizo gani, kuna work shop moja iliandaliwa na wizara ya viwanda, biashara na uwekezaji na masoko dhidi ya makampuni binafsi ilifanyika pale Sheraton. Wafanya kazi wenzenu wa wizara wakawa wanachukua maji karanga, korosho, maandazi na vitafunwa vingine wanaficha kwenye mikoba. Almanusra nimzabue kibao mmoja
ilikuuma eeh? sasa ulitaka uondoke navyo we peke yako.ndio mkijaga kufabya catering kweny semina mnakua mnagomea kuwaongezea wajumbr wa warsha mnasema.kimeisha kumbe mnataka kurudi na bajia na mandaz nyumbam

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
ilikuuma eeh? sasa ulitaka uondoke navyo we peke yako.ndio mkijaga kufabya catering kweny semina mnakua mnagomea kuwaongezea wajumbr wa warsha mnasema.kimeisha kumbe mnataka kurudi na bajia na mandaz nyumbam

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Hata vichwani ni weupe sana nyinyi, mtu anaulizwa swali la msingi anajibu takataka. Sishangai maana hata mnavyo ajiriwa ni ile wanaita zoa zoa
 
Serikali iliahidi kupandisha madaraja watumishi ambao walipanda madaraja kuishia 2017 kurudi nyuma, na kwamba katika mshahara wa mwezi Mei 2022 wote wliostahili wangebadilishiwa mshahara.

Mimi ni miongoni mwa ambao hawakubadilishiwa. Tatizo ni nini? Kuna kauli ya serikali juu ya ambao hawakubadilishwa mwezi huu kwamba labda tusubiri mwezi ujao? Au ndo imetoka?

Tupeane updates.

Nawasilisha.
Una taarifa yoyote ya wengine kati ya wale 92000+ kupandishwa madaraja?
 
Una taarifa yoyote ya wengine kati ya wale 92000+ kupandishwa madaraja?
Katika wilaya yangu nimearifiwa na ofisi ya mwajiri kuwa zoezi hili ni la miezi miwili, takribani waliopandishwa Mei ni nusu na waliobaki watapandishwa Juni.
 
Mkutane hapa? Kufanya nini? Watumishi wa serikali sijui mna matatizo gani, kuna work shop moja iliandaliwa na wizara ya viwanda, biashara na uwekezaji na masoko dhidi ya makampuni binafsi ilifanyika pale Sheraton. Wafanya kazi wenzenu wa wizara wakawa wanachukua maji karanga, korosho, maandazi na vitafunwa vingine wanaficha kwenye mikoba. Almanusra nimzabue kibao mmoja
Sikonge?
Moshi wa tumbaku

Check Afya ya Akili
 

Attachments

  • IMG_20220419_163155.jpg
    IMG_20220419_163155.jpg
    7.7 KB · Views: 13
Back
Top Bottom