Ambao Wanatuhujumu hadi Mechi za Kirafiki tunawatafuta!

Kichwa Kichafu

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2017
Posts
44,855
Reaction score
189,385
Habari!

Naona wahujumu wa watani (Wamatopeni) wanaendelea kuwahujumu hadi mechi za kirafiki.

Leo tena kile kikosi wanachoamini ni kipana yaani hata waliokuwa Sub ukiwaweka uwanjani wanaaminiwa hawawezi kufungwa hata siku moja kwa maelezo ya viongozi wao.

Wanaamini hata wakitoa sare basi kuna mtu anahujumu kutoka nje.

Basi tunamfikishia habari tunaendelea kukutafuta kama unahujumu hadi mechi za kirafiki sasa umevuka mipaka.

Leo 16/11/2020 :
Simba Sc (Wamatopeni) 0 - 0 African sports.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…