nashukuruni ndugu zangu kwa kunitia moyo kwa hilo na hata kwa walionicrush pia thanks sana tu mbarikiwe ngoja nijaribu na nikifanikiwa sawa nisipofanikiwa pia sawa cha muhimu kujaribu tu
Mi nafikiri nyie ndo hatari kwani mmeshindwa kupata "contextual meaning" ya thread yake, mi binafsi nimemuelewa kuwa anataka ajue jinsi ya kukatarufaa HESLB.