Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Ambari Haji khamis ni wa 1 kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya chama Cha NCCR Mageuzi kugombea nafasi ya urais Zanzibar.
Ambari Haji Khamis ni Makamo Mwenyekiti Tanzania Zanzibar Chama Cha NCCR Mageuzi amesema endapo chama kitampa ridhaa ya kuwa mgombea na hatimae kushinda urais Zanzibar atahakikisha anarudisha mchakato wa Katiba mpya bungeni kwa kushirikiana na rais wa Jamhuri. Amesema pia wazanzibari lazima wawe na Uhuru wa kujieleza na kupata habari kwa wakati.
Ameongeza kwamba endapo atachaguliwa kuwa Rais wa Zanzibar atahakikisha changamoto za muungano zinakwisha kabisa
Ambari Haji Khamis ni Makamo Mwenyekiti Tanzania Zanzibar Chama Cha NCCR Mageuzi amesema endapo chama kitampa ridhaa ya kuwa mgombea na hatimae kushinda urais Zanzibar atahakikisha anarudisha mchakato wa Katiba mpya bungeni kwa kushirikiana na rais wa Jamhuri. Amesema pia wazanzibari lazima wawe na Uhuru wa kujieleza na kupata habari kwa wakati.
Ameongeza kwamba endapo atachaguliwa kuwa Rais wa Zanzibar atahakikisha changamoto za muungano zinakwisha kabisa