Ambaye ana uzoefu na biashara za Dar-Zanzibar

Mayai hapana ndg.. zenji kuna wafugaji wa kuku had vijijin kabisa msee.. wanafuga hao layer kwa wingi.. may be ya kienyeji.

Vitunguu, nyanya, mabonga ni deal sana mzee sema kuna misimu yake, hasa mwez wa 11 wa 6 kwa nyanya na vtunguu, maboga peleka kipnd cha ramadhan utakuja nshukuru.
 
Dah, we jamaa nimuongo mno, cjui inakusaidia kusema uongo kiasi hicho, mchana zaid ya asilimia 90 nyumba zote utakazopita ni wali, nyamaza wazanzibar wenywe tumo humu
[emoji1787][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Ni kweli mkuu ata wa shinyanga ni mzuri Ila wa kyela ni special, ule ukipika nyumba nzima inanukia wali, tofauti kidogo na mchele mwingine mtu kujua kama Unatoa hashimu lungwe hadi aone umepalia Moto juu ya mfuniko

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hv sio kyela tena ni Kamsamba ndio wana mchele mzur ila kyela inatumika kuibrand tu ila kwa watu wa mbeya ndio wanaulizia hyo kamsamba ndio unanukia sana alaf mtamu sana mdomoni.
Na wafanyabiashara wengi wanachanganya na mchele wa Mbarali ili wapate faida mara dufu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…