Ambaye hajalala tupige stori.

Watoto wa kike mpaka saa hizi mnatembea mitaani, nyie! Mkikutana na ....je? Haya upesi mkalae kabla sijashika kiboko. Watoto wadogo mambo ya kikubwa. Nasema upesi mkalale!

we mkulima wa kuku hebu kamwagilie kuku maji na utie mbolea.
 
Andika kwa kiingereza , no comment , kuna bosi wangu apa kazini anafatilia huu mjadala kwa makini sana lakini haelewi kiswahili.

hata mimi kiswahili kinanipa tabu. Naelewa kwa mbali.
 
andaa ungo, leo nataka niwapeleke nigeria.

Nigeria si tulikwenda juzi ? Hukumbuki hata Lowasa alituomba lift tumuache kwa Mchungaji Emmanuel ashughulikiwe kuukwaa urahisi kiulaiyni .
 
huwa sredi ikiwa na lawyer na deskmate wake na husniyo inarun sana sijui kwa nini
 
Nigeria si tulikwenda juzi ? Hukumbuki hata Lowasa alituomba lift tumuache kwa Mchungaji Emmanuel ashughulikiwe kuukwaa urahisi kiulaiyni .

ooh! Mam..mama (kwa melody ya kisharobaro)!
 
People of the Lord, mwenzenu nilikesha jana
Naona leo nimeshindwa kuvumilia, naangusha majeshi soon
Nawatakia wote usiku mwema, tutaongea kesho.
Excellent nimefurahi sana kukuona, naomba uwaangalie
Deskmate na Cousin wangu. I can smell something fishy-fishy...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…