Amber Lulu, young D, Kwa picha hizi mtaenda kujibu nini kwa Mungu wenu muumba?

Kwa hizo picha zinaonyesha wote wawili hapo wanafanya biashara ya kupigwa miti.
Mmoja ni malaya wa kike, mwingine ni shoga.
Wote wamepakwa mafuta, mwanamke yuko uchi na mwanaume kavaa sketi ya kike.
Kweli biashara ni matangazo.

Wamelaaniwa kabisa hao.
 
hivi TCRA wako wapi siku hizi huyu binti anatafuta umaarufu kwa nguvu amesahau kama kuvua nguo hakukuongezei umaarufu utaishia kuchezewa na vibenbten
 
Wamechagua kutoa ujumbe huo.......ME mwenye uangalau angeshitushwa na front page.

Kwa maendeleo hayo......bora kuwa mhenga tu!
 
Wazazi wana shida sana
Wangekuwa wanaoneshwa maisha ya mbele ya mtoto hakika wengi wangekua hawazaliwi
 
Habari wanaJF,AMA kweli pesa haramu....pesa inaweza kukufanya ukaonye hta papuchii nje nje.....Oneni dada zetu wanavyotafuta pesa kwa nguvu sijui ni dhiki au tamaa mmi sijui.
View attachment 577327


Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wamefanya maamuzi magumu sana,baada ya kugundua uwezo wa kutafuta hela kwa kutumia vichwa(Akili) hawana wameamua kutumia mwili wote(hasa sehemu za siri) kutafutia hela!
 
Kama wanayapaka ili wang'ae bila nguo, mbona sasa kama unakinzana na bandiko lako lililotangulia kwa kuyataka.
uwe unaelewa mi nayataka kwa matumizi yangu unataka kuniambia kama ni baby care tusitumie sababu yamepakwa na mtembea uchi nina wasawasi na majirani zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…