LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,491
- 12,560
Siku ambayo atakuja kuhukumiwa huyu dada watu mnaweza msiamini lakini ukweli ndio huo
Binti baada ya kutafutiwa dhamana akatoka, ilitakiwa kwa sasa atulie aweke mikakati ya kupambana na hii kesi maana mwanzo alibugi akakubali kuwa video ni yake na hajui ilivujaje
so hapo kukiri tu tayari kulimweka kwenye majanga maana kosa pale ni kuzibuana mtaro ndio kesi hatari inayoweza kumfunga kiutani utani maana alikiri kwenye ile video ni yeye
sasa binti huu mda alio nnje kwa dhamana alitakiwa autumie kuwekeza kwenye ibada na kujipanga ili kuruka ile kesi kama gwaji boy vile lakini, amber ndio kwanza kacharuka anajiita madam wowowo
Binti anahitaji watu wa kumshauri
Binti baada ya kutafutiwa dhamana akatoka, ilitakiwa kwa sasa atulie aweke mikakati ya kupambana na hii kesi maana mwanzo alibugi akakubali kuwa video ni yake na hajui ilivujaje
so hapo kukiri tu tayari kulimweka kwenye majanga maana kosa pale ni kuzibuana mtaro ndio kesi hatari inayoweza kumfunga kiutani utani maana alikiri kwenye ile video ni yeye
sasa binti huu mda alio nnje kwa dhamana alitakiwa autumie kuwekeza kwenye ibada na kujipanga ili kuruka ile kesi kama gwaji boy vile lakini, amber ndio kwanza kacharuka anajiita madam wowowo
Binti anahitaji watu wa kumshauri