Wamehukumiwa kwa mujibu ya sheria zilizipoUnajua yanayofanyika kwa siri?Mimi naungana na anayesema kosa lilipaswa kuwa kusambaza video na si hilo la kuingiliwa kinyume!
Kama tunaogopa Sodoma na Gomora basi maana yake serikali ina dini!Kwa maana hiyo ili kuzuia kabisa watu wawe wanapimwa tupu zao za nyuma kama wameingiliwa na watakaokutwa weingiliwa washitakiwe na kufungwa!Hapa ni kama tunataka kutokomeza kabisa mchezo huo na sio maigizo!
Just imagine [emoji1787][emoji1787]huyo jdelicicous alikuwa hanuki mahakamani
Naomba kuuliza kwa sababu mimi hii kesi ndio kwanza naisikia leo hapa, Hivi ni kwa nini mshitakiwa wa tatu amepewa miaka mitano wakati washitakiwa wenzake wamepewa miaka mitatu? Pia huyu mwanamme mmoja anaonekana kama ni shoga, jee yeye na huyu mwanamke ndio walioingiliwa kwa nyuma au hawa wanaume wote walimuingilia huyu mwanamke kwa nyuma?Hukumu imetolewa leo na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu DSM
Washtakiwa wameshindwa kulipa faini na hivyo wamepelekwa gerezani kuanza kutumikia adhabu yao.
=====
Nimezingatia hoja za pande zote mbili na athari za makosa haya, ni kweli washitakiwa wote vijana na wanategemewa, nimeona mshitakiwa wa kwanza anajutia, kutokana na mazingira ya kesi hii adhabu yake ni miaka 30 kila kosa ambapo nikiwafunga mtapotea kabisa" amesema Hakimu Mkazi Mfawidhi Godfrey Isaya
"Hivyo kwa mazingira mliyoyasema na lengo la adhabu ni kujirudi, mshitakiwa wa kwanza utalipa Milioni 3 ama jela miaka 5 (Amber Rutty) mshitakiwa wa pili utalipa faini ya milioni 3 ama jela miaka 5 (Said Bakary ) na mshitakiwa wa tatu faini milioni 5 ama jela miaka 5 (James Charles) na adhabu zitaenda sambamba" ameongeza
wateja wake au? 🤣 🤣Huyo James kalipa hiyo mil 5 au vipi maana najua humu wapo wa kujitolea kumlipia
Yap najua lazima wamo maana si kwa msambwanda ulewateja wake au? 🤣 🤣
Mke
Kwan marekani hapa ,factor ni kwamba wanaharibu maadili ya TanzaniaMtu mwili wake mwenyewe kaamua kuingiliwa/ kuingilia bila shuruti yeyote chumbani kwao kwanini serikali iingilie?
FactAcha kuwatetea hao firauni.. Mungu akileta moto kama Sodoma na Gomora, utateketea hata wewe usiyehusika.. Miili ni yao.. Ila vitendo wanavyofanya vinahatarisha hata usalawa wako, wewe usiyehusika!
Jela siku hizi hakuna huo ujingaAtashukuru maana ndio mchezo wake pendwaa