Amber Rutty na Mumewe Wahukumiwa Kwenda Jela Miaka 5 Au Kulipa Faini Kwa Kosa la Kufanya Mapenzi Kinyume na Maumbile

Wamehukumiwa kwa mujibu ya sheria zilizipo
 
...Hivi Luna mtakaojitokeza kuwalipia faini binadamu hawa waliojiweka hadharani wakilana tackle??
Kawapeni Masikini hizo hela ndugu zanguni...Mtapata Baraka..!
 
Naomba kuuliza kwa sababu mimi hii kesi ndio kwanza naisikia leo hapa, Hivi ni kwa nini mshitakiwa wa tatu amepewa miaka mitano wakati washitakiwa wenzake wamepewa miaka mitatu? Pia huyu mwanamme mmoja anaonekana kama ni shoga, jee yeye na huyu mwanamke ndio walioingiliwa kwa nyuma au hawa wanaume wote walimuingilia huyu mwanamke kwa nyuma?
 
Mtu mwili wake mwenyewe kaamua kuingiliwa/ kuingilia bila shuruti yeyote chumbani kwao kwanini serikali iingilie?
Kwan marekani hapa ,factor ni kwamba wanaharibu maadili ya Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…