princewilly
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 259
- 528
Huwa tunajuta baada ya maovu yetu kuumbuliwa mkuu, huu ndio udhaifu wetu binadamu.Yani huyo amber sa hivi ndo anakumbuka kujifunika minguo mingii.ovyo kweli[emoji45]
Huyo Mchungaji nimempenda bure, ameona fursa hapo, akamhubirie neno la Mungu, ampe sapoti huku akombadilisha mdogo mdogo“Mtu asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza kumpiga jiwe”. Yohana 8:11 Mchungaji umeonyesha upendo wa Kimungu...ni wadada wangapi wanafanya haya mambo???je mtoto wako akinyea mkono wako utaukata??Amber anahitaji maombi na ushauri nasaha....
Msanii Amber Rutty na mpenzi wake Said Mtopari
We all deserve second chance, right Zuleykha?Yani huyo amber sa hivi ndo anakumbuka kujifunika minguo mingii.ovyo kweli[emoji45]
Jambo jema, ila muhimu wasi-skip bail, huyo msamaria mwema akajikuta matatizoni.#BREAKING: Msanii Amber Rutty na mpenzi wake Said Mtopari, wameachiwa kwa dhamama katika Mahakama ya Kisutu leo. Amber Rutty amedhaminiwa na ndugu yake huku mpenzi wake akidhaminiwa na Mchungaji Daudi Mashimo wa Kanisa la Emmaus Bible Church, Mbezi Luis DSM.
“Mtu asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza kumpiga jiwe”. Yohana 8:11 Mchungaji umeonyesha upendo wa Kimungu...ni wadada wangapi wanafanya haya mambo???je mtoto wako akinyea mkono wako utaukata??Amber anahitaji maombi na ushauri nasaha....
Na ni fursa kweli paka leo mimi nimeshamjua huyo mchungaji alafu amber ataokoka na kuwa mama mchungajiHuyo Mchungaji nimempenda bure, ameona fursa hapo, akamhubirie neno la Mungu, ampe sapoti huku akombadilisha mdogo mdogo
la kuwa mama mchungaji siwezi kulisema sana lakini Yesu alisema "Aliyesamehewa sana hupenda sana"Na ni fursa kweli paka leo mimi nimeshamjua huyo mchungaji alafu amber ataokoka na kuwa mama mchungaji
Lyon naamini watawaupigwa mwingi sana leoIna maana wanarud katka geto lao uyo amber na mwenzake!!!!??
Najaribu kuufikiria usiku wa leo tu, uku nikiwa namuangalia man city pale france
Huyo mchungaji aliangalia nae season za amber rutHuyo Mchungaji nimempenda bure, ameona fursa hapo, akamhubirie neno la Mungu, ampe sapoti huku akombadilisha mdogo mdogo
daahHuyo mchungaji aliangalia nae season za amber rut
Sana sana lakn guardiola anaenda kutafuta matokeo, utakuja kuniambia after 90 mins apa apaLyon naamini watawaupigwa mwingi sana leo
Wakazibuane mtaro vizuri leo, siwashaachiwa[emoji23][emoji1787]Sana sana lakn guardiola anaenda kutafuta matokeo, utakuja kuniambia after 90 mins apa apa
Kipind hiko kunauwezekano mkubwa mtu anazibua mtaro, eenh c washaachia wapo nyumban wanajipongeza kwa umaarufu