Amberlulu vs Sanchoka, Basata waanze na nani?

ObieTrice

Senior Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
159
Reaction score
154

Warembo wanaosumbua Tanzania ni Sanchoka, amberlulu bila kumsahau gigy money. kwa kuwashauri BASATA waanze na nani Amberlulu, gigy money au Sanchoka?​
 
Waanze na ambalulu huyu anamatusi sana refer ile video ya juzi walivyo jirekodi na gigy
 
Wampe Papa kama vipi hata nguru wampatie.
 
Hawa mabinti ni makahaba hamna maana nyingine
 
Ndo Biashara ilobakia yenye chati mjini iyo. Nyengine zote kizunguzungu.
Usione wadada wanaendsha magari,wanakaa nyumba nzuri lkn shuguli wanayoitoa si mchezo

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…