Ambwene Mwasongwe (Mwamlenga)

Msitari wa pambizo

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2014
Posts
3,098
Reaction score
5,451
Heshima kwenu wakuu
Nabarikiwa sana na huyu mtumishi wa Mungu, nyimbo zake zimebeba ujumbe murua. Mwenye kujua historia yake japo kwa ufupi anaweza kunisaidia pengine maisha yake yanaweza kuwa ya ushuhuda kwangu.
Natanguliza shukrani
 
Hata mm huwa ananigusa mpaka natokwa na machozi tu japo sijui chochote kuhsu yy
 
Misuli ya imani !! Mungu ambariki huyu ndugu.
 
Kwa jinsi anavyonibariki hadi ring tone ya cm zangu nmeweka nyimbo zake kutoka kwenye album ya "misuli ya imani"...historia yake cifahamu ila kwa kabila ni mnyakyusa..Mungu atubariki kwa nyimbo zake!!!!
 
Hata mimi nmebarikiwa saana saana! Na nyimbo zake
 
mimi nuupenda sana wimbo wake wa yatima..nkiuskia natokwa na machozi kutokana na ujumbe wake....
 
mnyakyusa,he's 30 now nafikiri,mwanafunzi wa uhasibu T.I.A Mbeya Campus,Diploma.maskani kwa sasa Mbeya na Dar.hajaoa,pia ni mfanyabiashara wa samani.
kwa kifupi ni hayo tu
 
eeh eti hajaoa ...... haya bana!
 
maisha yake yatakusaidiaje wewe sikiliza nyimbo zake tu inatosha
 
mnyakyusa,he's 30 now nafikiri,mwanafunzi wa uhasibu T.I.A Mbeya Campus,Diploma.maskani kwa sasa Mbeya na Dar.hajaoa,pia ni mfanyabiashara wa samani.
kwa kifupi ni hayo tu

Acha upumbavu
 
Historia yake siijui, ila nyimbo zake ni nzuri kwakweli hasa kwenye albam ya misuli ya imani
 
Heshima kwenu wakuu
Nabarikiwa sana na huyu mtumishi wa Mungu, nyimbo zake zimebeba ujumbe murua. Mwenye kujua historia yake japo kwa ufupi anaweza kunisaidia pengine maisha yake yanaweza kuwa ya ushuhuda kwangu.
Natanguliza shukrani

Hili jamaa ni nomaa, nyimbo zake unaweza kulia , anaimba kwa hisia sana
 
Jamaa alikuwa jirani yangu pale airpot-mby wakati akiwa ktk hali ngumu sn.Nilihama nikamwacha,ila kapitia magumu sana.Labda Salama au Sauda wamwite tumsikie yy mwenyewe.
Wimbo wake wa Tulikotoka ndo huwa unaniliza mie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…