Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,580
HahahahshsNani kamzuia asitajwe babu tale au clouds?
huyu jamaa nyimbo zake yani ukisikiliza unahisi unaguswa moyo, nguvu ya msamaha, kuokoka, upendo wa kweli, yatima, ndoa dahh huyu jamaa ni among the best gospel singers Tanzania kuwahi kuwa nao.Nadhani nimechelewa sana kujua nyimbo za huyu fundi wa nyimbo za injili Ambwene Mwasongwe,jamaa anaimba vitu vinatouch kinyama
Nasikiliza hapa wimbo unaitwa CHOZI LA HAKI.
Huu wimbo ni touching sana
naombeni kwa aliyenazo zingine zote,au hata kama zipo za kulipia nitalipia nimchangie.
Mkuu ni kweli na rafiki yangu ni shehe anampenda abiudMsimsahau pia na Mchungaji Abiud Misholi, yaani akiimba nyimbo zake nahisi kubarikiwa na kupata faraja ya ajabu.