Amchoma mwenzie kisu cha shingo na kutoweka

Amchoma mwenzie kisu cha shingo na kutoweka

heartbeats

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2014
Posts
6,736
Reaction score
10,669
Habari
Vijana na bangi mnaambiwa sio nzuri amsikii
Kijana mmoja mwenye jina la kihuni maarufu kama baba jojo[19] amchoma kijana mwenzie kisu na kupelekea umauti wa kijana huyo umri miaka[ 17]

Majira ya usiku wa kuamkia tarehe 27 ulizuka ugomvi maeneo ya backtown tiptop ambapo ulipelekea kijana kuchomwa kisu cha shingo na muuaji kutoweka pasipo kukamatwa

Inasemekana kijana huyo muuaji alikuwa na kauli za kutaka kuua mtu ambapo alikuwa anaizungumza siku kadhaa kama utani, anapopatikana popote ni kiumbe hatari

Vijana sijui upepo gani unawakumba picha ya muuaji hii hapa.

1716803554882.jpg
1716803550189.jpg
 
Kukosa Imani ya kidini pia inachangia kukosa huruma, hekima, kujali na kusamehe.

Kuua ni zoezi la mwisho la kulinda maslahi halali na maisha ya wengine na halihalalishwi kwa kila mtu kulitekeleza.

Upendo ni silaha muhimu sana katika maisha yetu.
 
Habari
Vijana na bangi mnaambiwa sio nzuri amsikii
Kijana mmoja mwenye jina la kihuni maarufu kama baba jojo[19] amchoma kijana mwenzie kisu na kupelekea umauti wa kijana huyo umri miaka[ 17]

Majira ya usiku wa kuamkia tar27 ulizuka ugomvi maeneo ya backtown tiptop ambapo ulipelekea kijana kuchomwa kisu cha shingo na muuaji kutoweka pasipo kukamatwa

Inasemekana kijana huyo muuaji alikuwa na kauli za kutaka kuua mtu ambapo alikuwa anaizungumza siku kadhaa kama utani, anapopatikana popote ni kiumbe hatari

Vijana sijui upepo gani unawakumba picha ya muuaji hii hapa
mtu mzima kumchoma kisu mtoto mdogo, dah hili ni jipya....

Inawezekana ni vichocheo vya athari za bangi. kwasababu bangi huchochea hali hali isiyoyakawaida kwa mwanadamu mvuta bangi....

mfano kama mtu alikua mwema, bangi inamchochea kua muovu na muuaji kama ambavyo imetokea hapo tip top.....

R.I.P kijana mdogo 🐒
 
Habari
Vijana na bangi mnaambiwa sio nzuri amsikii
Kijana mmoja mwenye jina la kihuni maarufu kama baba jojo[19] amchoma kijana mwenzie kisu na kupelekea umauti wa kijana huyo umri miaka[ 17]

Majira ya usiku wa kuamkia tar27 ulizuka ugomvi maeneo ya backtown tiptop ambapo ulipelekea kijana kuchomwa kisu cha shingo na muuaji kutoweka pasipo kukamatwa

Inasemekana kijana huyo muuaji alikuwa na kauli za kutaka kuua mtu ambapo alikuwa anaizungumza siku kadhaa kama utani, anapopatikana popote ni kiumbe hatari

Vijana sijui upepo gani unawakumba picha ya muuaji hii hapa
Miaka 19 kwa Baba Jojo tumepigwa, ila atapatikana tu. Labda ajiue na yeye.
 
Habari
Vijana na bangi mnaambiwa sio nzuri amsikii
Kijana mmoja mwenye jina la kihuni maarufu kama baba jojo[19] amchoma kijana mwenzie kisu na kupelekea umauti wa kijana huyo umri miaka[ 17]

Majira ya usiku wa kuamkia tar27 ulizuka ugomvi maeneo ya backtown tiptop ambapo ulipelekea kijana kuchomwa kisu cha shingo na muuaji kutoweka pasipo kukamatwa

Inasemekana kijana huyo muuaji alikuwa na kauli za kutaka kuua mtu ambapo alikuwa anaizungumza siku kadhaa kama utani, anapopatikana popote ni kiumbe hatari

Vijana sijui upepo gani unawakumba picha ya muuaji hii hapa
Una uhakika kwamba muuaji anasumbuliwa na tatizo la afya ya akili kutokana na matumizi ya bangi???
Not a fore-planned and targeted attack?
 
Una uhakika kwamba muuaji anasumbuliwa na tatizo la afya ya akili kutokana na matumizi ya bangi???
Not a fore-planned and targeted attack?
Ni kijana yupo timamu tu hana changamoto yoyote ya afya ya akili bali ni ule uhuni na makuzi
 
Habari
Vijana na bangi mnaambiwa sio nzuri amsikii
Kijana mmoja mwenye jina la kihuni maarufu kama baba jojo[19] amchoma kijana mwenzie kisu na kupelekea umauti wa kijana huyo umri miaka[ 17]

Majira ya usiku wa kuamkia tarehe 27 ulizuka ugomvi maeneo ya backtown tiptop ambapo ulipelekea kijana kuchomwa kisu cha shingo na muuaji kutoweka pasipo kukamatwa

Inasemekana kijana huyo muuaji alikuwa na kauli za kutaka kuua mtu ambapo alikuwa anaizungumza siku kadhaa kama utani, anapopatikana popote ni kiumbe hatari

Vijana sijui upepo gani unawakumba picha ya muuaji hii hapa.

View attachment 3000618View attachment 3000619
Mnapenda sana kuisingizia Bangi
 
Una uhakika kwamba muuaji anasumbuliwa na tatizo la afya ya akili kutokana na matumizi ya bangi???
Not a fore-planned and targeted attack?
Ni jambo la kukusudia maana alikuwa na kisasi nae so alimuwinda kama digidigi, inavyosemekana uyo dogo ni mwizi/kibaka aliiba ila marehemu akamchoma kwa mwenye mali
 
Huyu kashakimbia nchi kamuokote sauzi Chaka la wahuni
 
Kukosa Imani ya kidini pia inachangia kukosa huruma, hekima, kujali na kusamehe.

.
Unataka kusema kwamba kabla ya ujio wa ukristo na uislamu watu waliuana sana? Vipi maelfu ya watu wanaouliwa na waislamu kwa mgongo wa kueneza dini?
 
mtu mzima kumchoma kisu mtoto mdogo, dah hili ni jipya....

Inawezekana ni vichocheo vya athari za bangi. kwasababu bangi huchochea hali hali isiyoyakawaida kwa mwanadamu mvuta bangi....

mfano kama mtu alikua mwema, bangi inamchochea kua muovu na muuaji kama ambavyo imetokea hapo tip top.....

R.I.P kijana mdogo 🐒
Nyie vijana wa Tip Top miaka yote mnarithishana uhuni tu na bangi, hiyo Tip Top ni ya wapi?
 
Jumlisha na bangi na pombe
Vinasingiziwa sana ukisema Pombe nitakubari Ila Bangi HAIMTUMI mtu kuua, ingawa Mimi SIO mtumiaji wa vyote Ila naishi na watumiaji najua huyu mlevi wa Pombe anakuaje na mtumiaji wa MOSHI anakuaje, Pombe SIO nzuri kwa afya yako ya Mwili na Akili

Vifo vyote ukianza kile cha Goba Centre ukija kile cha yule Mwanamke amemuua mumewe sababu kaenda kumtembelea Mzazi mwenzio ukiangalia kwa upana zaidi chanzo ni Pombe Bangi inasingiziwa TU unataka kusema na yule Mama aliemuua mumewe kisa kaenda kusalimia Mzazi mwenzio nae alizimu Bangi kidogo?

Ukiniambia alizimua Pombe Kali sikatai Kisungura cha 1000/2000 kinakuvusha unakua na Akili zingine kabisa unawehuka dakika 5 nyingi
 
Back
Top Bottom