Amdalasini ukichanganya na asali inasaidia kuleta ashki?
Inasaidia kurudisha uke katika hali nzuri( uke unakuwa kama mpya yaani hujatumika sana "bikra") ila ni vizuri ukapata Amdalasini ule wa mitimiti uusage ww mwenyewe uchanganye na asali original.
Unapaka au una kunywa :wacko:
Unapaka au una kunywa :wacko:
Kha kweli mahangaiko ya dunia kupaka:eek2:! na zile chengachenga hazikudhuru kunako? hii ndo naisikia mie najua kunywa tu ikichanganya na asali na kuulamba ukinganya na asali maana ndo napenda lakini hii ya kupaka kwa bibi mpya:wacko:?Unapaka sehemu ambazo unataka zipate ashiki halafu unakunywa pia.
Unapaka au una kunywa :wacko:
Unapaka au una kunywa :wacko:
Unakunywa kama chai (maji ya moto kwenye kikombe weka mdalasini na asali kijiko kimoja cha asali) mara mbili kwa siku yaani asubuhi na jioni. Au unaweza lamba baada ya kuchanganya mdalasini na asali.
kakaJambazi nilitaka kujua maana lilikuwa ni somo geni kwangu.......Utakua mhanga wa mailage au?!!
Rubi nami nilikuwa nawaza kama wewe... inakuwaje hizo chenga za mdalasini huko kunako...Kha kweli mahangaiko ya dunia kupaka:eek2:! na zile chengachenga hazikudhuru kunako? hii ndo naisikia mie najua kunywa tu ikichanganya na asali na kuulamba ukinganya na asali maana ndo napenda lakini hii ya kupaka kwa bibi mpya:wacko:?
hahahaha.... kwanini usiipime kabla?Hahaha.....sasa naona nyie mnatafuta balaa...haya hebu paka ukimaliza niite nije kuipima kama imekua tait!
Tobaaa.... sasa chakula mnaiweka hukoo?Inasaidia kurudisha uke katika hali nzuri( uke unakuwa kama mpya yaani hujatumika sana "bikra") ila ni vizuri ukapata Amdalasini ule wa mitimiti uusage ww mwenyewe uchanganye na asali original.