Ameacha chuo mwaka wa pili kozi ya clinical medicine na anataka kwenda kusoma degree ya ufamasia

Ameacha chuo mwaka wa pili kozi ya clinical medicine na anataka kwenda kusoma degree ya ufamasia

pharmast

Member
Joined
Sep 8, 2024
Posts
47
Reaction score
99
Hello habari kuna dogo kaamua kuacha kozi ya clinical medicine na kwenda kozi ya ufamasia ,na alikuwa anafanya vizuri tu sasa ilikuwa anakarbia kufanya mtihani wa cat one mwaka wa pili kaamua kuacha anataka akasome ufamasia tumemweleza aendelee kwanza na diploma afu atajiendeleza badae hataki kabisa,nini Cha kufanya kwake ,na alisoma mpaka form six alipata division two ya 10 phy-D,chem-C na bios-C,sijui nini kimemkuta kwenye akili yake kuamua kuicha clinical medicine ilihali hajafeli.ushauri ndg
 
Hello habari kuna dogo kaamua kuacha kozi ya clinical medicine na kwenda kozi ya ufamasia ,na alikuwa anafanya vizuri tu sasa ilikuwa anakarbia kufanya mtihani wa cat one mwaka wa pili kaamua kuacha anataka akasome ufamasia tumemweleza aendelee kwanza na diploma afu atajiendeleza badae hataki kabisa,nini Cha kufanya kwake ,na alisoma mpaka form six alipata division two ya 10 phy-D,chem-C na bios-C,sijui nini kimemkuta kwenye akili yake kuamua kuicha clinical medicine ilihali hajafeli.ushauri ndg
Atajutia muda alioupoteza
 
Hello habari kuna dogo kaamua kuacha kozi ya clinical medicine na kwenda kozi ya ufamasia ,na alikuwa anafanya vizuri tu sasa ilikuwa anakarbia kufanya mtihani wa cat one mwaka wa pili kaamua kuacha anataka akasome ufamasia tumemweleza aendelee kwanza na diploma afu atajiendeleza badae hataki kabisa,nini Cha kufanya kwake ,na alisoma mpaka form six alipata division two ya 10 phy-D,chem-C na bios-C,sijui nini kimemkuta kwenye akili yake kuamua kuicha clinical medicine ilihali hajafeli.ushauri ndg
Nahisi kuna mtu kamdanganya. CO anayoifanya ni course nzuri sana, ni mob psychology tu hiyo halafu ni maamuzi mabovu sana kayafanya, anataka akauze maduka ya dawa badala ya kuchoma watu sindano
 
Hello habari kuna dogo kaamua kuacha kozi ya clinical medicine na kwenda kozi ya ufamasia ,na alikuwa anafanya vizuri tu sasa ilikuwa anakarbia kufanya mtihani wa cat one mwaka wa pili kaamua kuacha anataka akasome ufamasia tumemweleza aendelee kwanza na diploma afu atajiendeleza badae hataki kabisa,nini Cha kufanya kwake ,na alisoma mpaka form six alipata division two ya 10 phy-D,chem-C na bios-C,sijui nini kimemkuta kwenye akili yake kuamua kuicha clinical medicine ilihali hajafeli.ushauri ndg
Kuna ushauri amepewa na mtu ambaye ana nafasi Kubwa moyoni mwako kuliko ninyi!

Ni ke au me? Huyo mnipe tenda ya kumuombea tu ufahamu wake ufunguke ... Kwa sababu muda Huwa haurudi nyuma!
 
Hello habari kuna dogo kaamua kuacha kozi ya clinical medicine na kwenda kozi ya ufamasia ,na alikuwa anafanya vizuri tu sasa ilikuwa anakarbia kufanya mtihani wa cat one mwaka wa pili kaamua kuacha anataka akasome ufamasia tumemweleza aendelee kwanza na diploma afu atajiendeleza badae hataki kabisa,nini Cha kufanya kwake ,na alisoma mpaka form six alipata division two ya 10 phy-D,chem-C na bios-C,sijui nini kimemkuta kwenye akili yake kuamua kuicha clinical medicine ilihali hajafeli.ushauri ndg
Ujuaji 😅mwacheni Dunia imfundishe mwacheni, ili mradi ana miaka zaidi ya 18
 
mi mwenyewe nimeacha sio kwasababu ya ada au nmefeli apana ila asilimia 85 wanafunzi wanaosoma CO hawajawah kufurahia hii coz waliopo nje ya mfumo wataona tunazingua ila sisi ndo tunajua
 
mi mwenyewe nimeacha sio kwasababu ya ada au nmefeli apana ila asilimia 85 wanafunzi wanaosoma CO hawajawah kufurahia hii coz waliopo nje ya mfumo wataona tunazingua ila sisi ndo tunajua
Embu nipe maelekezo labda ana mashiko tusije mlaumu bure
 
Kukosea njia sio tatizo ila tatizo ni kuzidi kuendelea uelekeo wa njia uliyokosea... Arudi akasome degree kama atapata nafasi kuliko hiyo CO ambayo kwa sasa atajiforce sana kusoma and pharmacy is far better.
 
Na ufaulu huo alienda kufanya nini huko clinical, yaani kutoka clinical kisha Degree ni kazi kweli kweli, wengi wanaishia hio diploma , hizo kauli za kujiendeleza ni faraja tu ila hata mtu aseme ajiendeleze mshahara wa CO hauwezi kumpa milioni 7 kila mwaka kwa miaka mitano kwa ajili ya kujiendeleza na degree . Mwacheni afanye anachotaka nyie toeni sapoti.
 
Na ufaulu huo alienda kufanya nini huko clinical, yaani kutoka clinical kisha Degree ni kazi kweli kweli, wengi wanaishia hio diploma , hizo kauli za kujiendeleza ni faraja tu ila hata mtu aseme ajiendeleze mshahara wa CO hauwezi kumpa milioni 7 kila mwaka kwa miaka mitano kwa ajili ya kujiendeleza na degree . Mwacheni afanye anachotaka nyie toeni sapoti.
Si ndo nashangaa kabadlika gafla sema tumuache tu labda kaona kitu kzr zaid
 
Back
Top Bottom