Amefaulu vizuri ila hajapangiwa shule

NADIA NJAMA

New Member
Joined
Jun 18, 2014
Posts
3
Reaction score
0
Nina ndugu yangu amemaliza kidato cha nne na amefaulu tu vizuri cha kushangaza aja pangiwa katika posts amekata tamaa mana baba yake ana dhani ajafaulu.
 
Huyo anawadanganya 2 hajafaulu aliwatajia namb ya uongo mwambie kama kweli aclick hapa wliofl.com
 
Tambua kuwa kufauru na kuchaguliwa ni vitu viwili tofauti, wanaosoma private si kama walifeli ila hawakuchaguliwa tu. Aende private.
 
Shule kibao zipo za private si aende tu.
Tatizo pia hua haminiki katika familia kwa sababu amezidisha uongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…