covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Wakuu ninarafiki yangu alikuwa na kesi na amekiri kosa na hukumu imetoka wiki iliyopita..
(Amehukumiwa aende jela miaka tisa au atoe faini ya million 9.)
Sasa ushaurini wenu ninaoomba ni kwamba yeye hana hizo milioni tisa cash ila anamali yenye thamani inayofika hiyo hela.
Sasa ndugu zake wamejaribu kuuza ila hali ngumu kwa sasa wateja hakuna na siku ziinaenda.
Ninachokiomba kwenu je inawezekana mtu huyu kupeleka hati ya mali yake mahakaman then atolewe au kunakitu chochote ninachoweza kufanya ili kumsaidia huyu best yang.
Ushauri wenu muhimu tafadhali.
(Amehukumiwa aende jela miaka tisa au atoe faini ya million 9.)
Sasa ushaurini wenu ninaoomba ni kwamba yeye hana hizo milioni tisa cash ila anamali yenye thamani inayofika hiyo hela.
Sasa ndugu zake wamejaribu kuuza ila hali ngumu kwa sasa wateja hakuna na siku ziinaenda.
Ninachokiomba kwenu je inawezekana mtu huyu kupeleka hati ya mali yake mahakaman then atolewe au kunakitu chochote ninachoweza kufanya ili kumsaidia huyu best yang.
Ushauri wenu muhimu tafadhali.