Amekuja Dodoma na vingi

Amekuja Dodoma na vingi

Loftins

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2017
Posts
10,485
Reaction score
13,693
Huu ni mwaka wa sita toka nilivyoanzisha uzi humu JF kuhusu mdogo wangu aliyepata GPA ya majonzi 0.3 kwenye matokeo yake ya kidato cha nne enzi hizo ya motoo na inavutia kweli kweli siku hizi wanajua wenyewe ilivyokuwa haili muda wangu tena.

Uzi wenyewe huu hapa


Huyu dogo amekuwa Dereva wa Temesa hana hata miaka mitatu, anaweza kuwa na kamshahara kazuri kiasi cha kumiliki vitu ambavyo mimi hadi nikope ndio nivipate?
PXL_20230903_203107654.jpg
 
Mkuu hio picha uliyoweka ni kitega uchumi cha kanisa au ndo mali aliyokuja nayo dom?maisha katikati huwa kuna vimambo vingivingi mkuu watu kujiongeza katika mianya mbalimbali halafu ngoja nikupe siri moja ya maofisini...mara nyingine kwenye michoro mwanamke staff huwa hashirikishwi sana..believe me or not ipo hivo wanaami I ina sponsor wako ata cover tu bills zako ukinasa wanaume tunajilipua on our own risk
 
Huu ni mwaka wa sita toka nilivyoanzisha uzi humu JF kuhusu mdogo wangu aliyepata GPA ya majonzi 0.3 kwenye matokeo yake ya kidato cha nne enzi hizo ya motoo na inavutia kweli kweli siku hizi wanajua wenyewe ilivyokuwa haili muda wangu tena.

Uzi wenyewe huu hapa


Huyu dogo amekuwa Dereva wa Temesa hana hata miaka mitatu, anaweza kuwa na kamshahara kazuri kiasi cha kumiliki vitu ambavyo mimi hadi nikope ndio nivipate?View attachment 2763606
Sijaelewa
 
Mkuu hio picha uliyoweka ni kitega uchumi cha kanisa au ndo mali aliyokuja nayo dom?maisha katikati huwa kuna vimambo vingivingi mkuu watu kujiongeza katika mianya mbalimbali halafu ngoja nikupe siri moja ya maofisini...mara nyingine kwenye michoro mwanamke staff huwa hashirikishwi sana..believe me or not ipo hivo wanaami I ina sponsor wako ata cover tu bills zako ukinasa wanaume tunajilipua on our own risk
Ni kitega uchumi cha kanisa chief niko lindo mazingira haya
 
Huu ni mwaka wa sita toka nilivyoanzisha uzi humu JF kuhusu mdogo wangu aliyepata GPA ya majonzi 0.3 kwenye matokeo yake ya kidato cha nne enzi hizo ya motoo na inavutia kweli kweli siku hizi wanajua wenyewe ilivyokuwa haili muda wangu tena.

Uzi wenyewe huu hapa


Huyu dogo amekuwa Dereva wa Temesa hana hata miaka mitatu, anaweza kuwa na kamshahara kazuri kiasi cha kumiliki vitu ambavyo mimi hadi nikope ndio nivipate?View attachment 2763606


Kuna shida unayo, kaangalie afya ya akili.
 
Ningekuwa na Digrii 2 Kama Mwijaku ningekuelewa mkuu.
 
Back
Top Bottom