Amemaliza degree ya Mass Communication Mlimani anatafuta ajira popote

Amemaliza degree ya Mass Communication Mlimani anatafuta ajira popote

namanyele

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2012
Posts
1,852
Reaction score
610
habari wanajamvi,kuna binti amemaliza mass communication katika chuo kikuu cha mlimani mwaka huu,anatafuta kazi sehemu yoyote ile,kwa ambaye amesikia tangazo au anafahamu mahali wanapohitaji wafanyakazi hususani kulingana na taaluma aliyosomea atujuze,kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane kupitia PM,ahsanteni
 
habari wanajamvi,kuna binti amemaliza mass communication katika chuo kikuu cha mlimani mwaka huu,anatafuta kazi sehemu yoyote ile,kwa ambaye amesikia tangazo au anafahamu mahali wanapohitaji wafanyakazi hususani kulingana na taaluma aliyosomea atujuze,kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane kupitia PM,ahsanteni
haya journalist
 
mimi kazi za aina hiyo hivi karibuni zijazisikia! au umenisalimia tu?
 
Kuna kazi imepostiwa facebook kuwa anahtajika translator kwenye international organisation inaitwa SFCG.mwambie atume cv kwenda email hii Nkolo18@yahoo.com
 
Kuna kijiwe cha watangazaji kinaitwa clouds fm radio,mtafute rugemalila mutahaba utaingizwa hapo fasta,ukikubali mashart yake.
 
habari wanajamvi,kuna binti amemaliza mass communication katika chuo kikuu cha mlimani mwaka huu,anatafuta kazi sehemu yoyote ile,kwa ambaye amesikia tangazo au anafahamu mahali wanapohitaji wafanyakazi hususani kulingana na taaluma aliyosomea atujuze,kwa mawasiliano zaidi tuwasiliane kupitia PM,ahsanteni

nyie UD chuo chenu ni bora kuliko vyuo vingine!sasa munajaza server za jf ili iwe nini!!!kaeni nyumbani kwenu,nunueni cd za series ,angalieni kuanzia asubuhi mpaka jioni.very soon mutaandikiwa barua za kuitwa kazini.
Ha ha ha ha ha...lol
 
kuna kijiwe cha watangazaji kinaitwa clouds fm radio,mtafute rugemalila mutahaba utaingizwa hapo fasta,ukikubali mashart yake.


lol

hawa si ndio wale waliokawa wanashupalia habari za mike tyson??

Vihiyo sana hawa jamaa

:a s 11:
 
Back
Top Bottom