Amenichosha: Nisaidieni software za kuhackle simu yake


Ya nini yote ndugu yangu utaumiza moyo wako bure kama umuamini muache
 
Lakini naona ipo clear, kama hana dem mwingine ungekuwa huru na simu yake labda jambazi
 
cha muhimu ww nunua simu mbili zinazofanana!afu mshawish atumie simu uliyompa!makusudically badilishaneni simu!haitafika saa 4asbh bila ya upupu kumwagika!very easy
 
Dah, hivi kuna sababu yoyote ya msingi ya kupasuka Moyo/nyoyo nyakati hizi? Ni kujifunza tu na kuamua, nampenda naweza kwenda nae twende, Siwezi kaa pembeni kwa gharama kidogo ya muda wa kumsahau. Maisha yaendelee kwa furaha.
 
Man utapata presha kabla ya muda,usipende mambo ya kukagua simu ya mwenzio ni hatari sana.
 
Nimeamini JF kuna great thinkers! Kwa sisi FBI tunazidi kuongeza maujuzi! Thanks guys. Hata Mungu anamsaidia anayejisaidia. Kama nyie mme relax amchungi mizigo yenu tuachieni wazoefu wa ku protect.
 

yaani huu msemo wa akina dada ati NINAMPA KILA ANACHOTAKA yaani mi huwa sielewi elewi unamaanasha mambo yapi hasa, huwa najiuliza maswali yasiyo na majibu, nieleweshe kiduchu tafadhali. Lol
 
kwa unavyoonekana sio tu ku hack simu, bali hata ukimuona live haitasaidia kitu. weye unaonekana umegandishwa ki mtindo. kila mtu anakushauri hakuna umuhimu wa kuhack weye baaaado umeshikilia tuu. ni mbishi mno weye.
hata hivyo uwe pole
 
Yanini malumbano,ya nini maneno,jiweke pembeni kuepusha msongamano!
 


kuna software inauzwa, inaitwa mobile manager pro, inaweza kufanya hayo unayotaka. Lakini angalia usije ukafanya kitu cha ajabu. Authorized dealers hapa East africa wanaitwa DynaTechAfrica.com.
 
hahahah kujiexpress sku hz muhimu ww lasivyo unaachwa
 
Dah, hivi kuna sababu yoyote ya msingi ya kupasuka Moyo/nyoyo nyakati hizi? Ni kujifunza tu na kuamua, nampenda naweza kwenda nae twende, Siwezi kaa pembeni kwa gharama kidogo ya muda wa kumsahau. Maisha yaendelee kwa furaha.
:confused2::confused2::confused2::confused2::confused2:
 

Simu ya mpenzi wako unaitakia nini?

Ile ni mali yake binafsi na ana uhuru wa kuitumia atakavyo!
 

Anataka ku-make an informed decision based on fact na sio assumptions🙂
 
Anataka ku-make an informed decision based on fact na sio assumptions🙂
huyu anataka kuumiza moyo wake. Jamb keshaweka password, yaani kusoma hujui hata picha huelewi? Je penzi limechuja? Amebadilika? Hamheshimu? Kama majibu ni hapana aachane na mapaswrd!

Mwenyewe keshasema anataka kujua tu hayupo tayari kumuacha! Thats gud,sasa kama akigundua kuwa wako zaidi ya mmoja atafanya nini? Kama c kutafuta maumivu ambayo yanaepukika.

N what if ameweka paswrd kwa sababu kuna siri labda za ofsn hataki zijulikane,na yy akazichimbua huko? Ukimchunguza sana bata huwezi kumla. Ni vyema angevunja ukimya wakazungumza na mumewe kero zake kumaliza sarakasi za moyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…