Jaman mimi ninampenzi lakini hatakai kabisa niguse simu yake! yaani namtunza kweli na kumpa kila anachotaka lakini yeye inaonekana anamtu mwingine! N
WATAALAMU WA IT, NAOMBA SOFTWARE YA KUHACKLE SIMU YAKE NIZISOME MESSEJI ZAKE KWA MBALI TUMALIZANE NA HUYU
Haaaaaaaa Haaaaaaaaaa usema senaUnaitafuta presha na maumivu ya moyo kwa gharama zako mwenyewe
Hata yeye anajua kila maunono anayapata!
Huyu nampenda sana siwezi kumuacha ila lazima tu nijue anafanyeje
Jaman mimi ninampenzi lakini hatakai kabisa niguse simu yake! yaani namtunza kweli na kumpa kila anachotaka lakini yeye inaonekana anamtu mwingine! N
WATAALAMU WA IT, NAOMBA SOFTWARE YA KUHACKLE SIMU YAKE NIZISOME MESSEJI ZAKE KWA MBALI TUMALIZANE NA HUYU
Jaman mimi ninampenzi lakini hatakai kabisa niguse simu yake! yaani namtunza kweli na kumpa kila anachotaka lakini yeye inaonekana anamtu mwingine! N
WATAALAMU WA IT, NAOMBA SOFTWARE YA KUHACKLE SIMU YAKE NIZISOME MESSEJI ZAKE KWA MBALI TUMALIZANE NA HUYU
hahahah kujiexpress sku hz muhimu ww lasivyo unaachwaUnampa kila kitu na unaji express au kila kitu kama nini? kama umetoa pole we, mie sioni umuhimu wa kwenda mbali kote huko, upoteze muda wako bure, angekuwa mumeo unataka talaka hapo sawa lakini bwana tu mpaka utafute ma software looooo mbona una thamani zaidi ya hayo?
:confused2::confused2::confused2::confused2::confused2:Dah, hivi kuna sababu yoyote ya msingi ya kupasuka Moyo/nyoyo nyakati hizi? Ni kujifunza tu na kuamua, nampenda naweza kwenda nae twende, Siwezi kaa pembeni kwa gharama kidogo ya muda wa kumsahau. Maisha yaendelee kwa furaha.
Jaman mimi ninampenzi lakini hatakai kabisa niguse simu yake! yaani namtunza kweli na kumpa kila anachotaka lakini yeye inaonekana anamtu mwingine! N
WATAALAMU WA IT, NAOMBA SOFTWARE YA KUHACKLE SIMU YAKE NIZISOME MESSEJI ZAKE KWA MBALI TUMALIZANE NA HUYU
shida yote ya nini kama anacheat mmwage, kama unaona anakupa mateso ya moyo badala ya faraja tupa kule,uki-hack cm yake ukakuta mayb yupo na mahusiano na watu zaidi ya watatu,halafu wewe kakusave 'nyau' kwenye phone book utafanyaje? Maumivu mengine ni ya kuepukika
Hata yeye anajua kila maunono anayapata!
huyu anataka kuumiza moyo wake. Jamb keshaweka password, yaani kusoma hujui hata picha huelewi? Je penzi limechuja? Amebadilika? Hamheshimu? Kama majibu ni hapana aachane na mapaswrd!Anataka ku-make an informed decision based on fact na sio assumptions🙂