Pole sana mkuu, hawa viumbe wagumu sana kueleweka. Hali kama yako iliwahi kunipata, nyumba nimemlipia akaniletetea habari za nimpishe, nilimgomea na nikasubiri wakati muafaka, kodi ilipoisha na nikiwa na uhakika ana hali ngumu financially... Nikasepa.
Acha nae kabisa.