Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba msaada wa kisheria kuhusu hili suala: binti kuolewa akiwa na umri kati ya miaka 14-15 na mwanamume mwenye umri sawa na baba yake kwa sheria za Tanzania zinasemaje?